Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAKOBE AWARUSHIA KOMBORA ZITO NYALANDU, MWIGULU

Stori: Gladyness Mallya
Katika hali isiyo ya kawaida Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe amefunguka na Injili nzito kwa kuwataja baadhi ya wagombea urais kwamba waingie katika wokovu kamili badala ya kuwa na wokovu aliodai ni wa kuigiza. Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe. Katika moja ya mahubiri yake kanisani kwake Mwenge, Sam Nujoma Road, Askofu Kakobe ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Nape awarushia kombora UKAWA



NA MWANDISHI WETUMCHAKATO wa Katiba Mpya umeendelea kutumika kama kichaka cha kuzuia vuguvugu la mabadiliko katika vyama vya upinzani nchini. Vyama vingi vya upinzani vikiwemo vinavyojinadi kuwa ndio vikubwa, vimekuwa kwenye migogoro mikubwa inayotokana na ubaguzi, matumizi mabaya ya madaraka na kugombea ruzuku. Pia vyama vingine ikiwemo CHADEMA ambacho kimegubikwa na migogoro mizito ikiwemo ya kuwania madaraka na ufujaji wa fedha za ruzuku, huku baadhi ya viongozi wake wakitimuliwa na...

 

10 years ago

Mtanzania

Kinana awarushia kombora viongozi wa Chadema

kinanaNA ELIYA MBONEA, KARATU
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameanika ufisadi ulioko katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha, inayoongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Akihutubia wananchi katika Viwanja vya Mazingira mjini hapa jana, Kinana alisema viongozi wa halmashauri hiyo wameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi, ingawa wamekuwa wakilaumu Serikali ya CCM kwamba haiwaletei maendeleo wananchi wake.
“Nyinyi mliochagua Chadema sijui...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Slaa atua Dar, arusha kombora zito

Dar es Salaam. Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kuandikisha wapigakura kwenye mikoa ambayo ni ngome ya CCM na kwamba ile yenye upinzani itaandikishwa kwa kulipua ili watu wengi wenye sifa ya kupiga kura wasiandikishwe.

 

10 years ago

Vijimambo

Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora


KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta awarushia vijembe wanaoponda bunge

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta jana aliwatupia vijembe watu aliodai wanamkejeli na kumtukana baada ya Bunge hilo kuendelea na vikao vyake.

 

10 years ago

GPL

KAKOBE -3

ALIVYOANZA MIUJIZA YA UPONYAJI
Makala: Elvan StambuliTunaendelea kuwaletea mfululizo wa mazungumzo kati ya Askofu Zakary Kakobe na mwandishi wetu kuhusu alivyompokea Yesu. Askofu Zakary Kakobe MIUJIZA AMBAYO HAWEZI KUISAHAHU
Mwandishi: Kati ya miujiza hiyo ipi ambayo huwezi kuisahahu?
Askofu Kakobe: Siwezi kuisahau miujiza miwili, mmoja ulitokea katika mkutano nilioufanya Hedaru kwenye viwanja vya sokoni, mkoani...

 

10 years ago

GPL

KAKOBE-6

Makala: Elvan Stambuli Naendelea kuwaletea mahojiano kati yangu na Askofu Kakobe kuhusiana na maisha yake ya wokovu.
Divai aliyoitengeneza Yesu ni karibu mapipa saba!  Divai hii haikuwa kileo au pombe maana aliudhihirisha utukufu wake. Ingekuwa amewapa watu kileo, ingekuwa aibu kwake badala ya utukufu.  Ilikuwa ni divai mpya au divai tamu yaani juisi ya zabibu, tofauti na divai iliyochanganyika au kuchachuka ambayo ni...

 

10 years ago

GPL

KAKOBE- 4

Makala: Elvan Stambuli
Naendelea kuwaletea mazungumzo kati yangu na Askofu Zakary Kakobe baada ya kuanza kufanya mikutano ya uponyaji na kawaida maeneo mbalimbali. Kwa siku 256 tu kuanzia Januari 5, 2007 nikianzia Mlali Morogoro na kumalizia Septemba 17, 2007 huko Ngerengere mkoani Morogoro, baadhi ya mikoa nilikuwa nafanya mikutano hadi mitatu kwa siku.
Mwandishi: Ni mikutano mingi sana, yote ilikuwa ya miujiza? Askofu...

 

10 years ago

GPL

KAKOBE- 5

Makala: Elvan Stambuli Naendelea kuwaletea maelezo kuhusu maisha ya Askofu Kakobe baada ya kuokoka na kuanzisha kanisa.Mwandishi: Kuna waliosema kuwa ulianzisha kanisa nchini Marekani na ulikuwa na mpango wa kuhamia huko, je ni kweli? Askofu Kakobe. Askofu Kakobe: Kuhama nchi siwezi lakini ni kweli baada ya maombi ya muda mrefu Aprili 16, 2012 nilifungua kanisa Marekani, hii ni nia ileile ya kuokoa mataifa na kuinua jina la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani