KAKOBE AWARUSHIA KOMBORA ZITO NYALANDU, MWIGULU
![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx21v85G7Of2fCeX1J6x50-cv2p6NcG15GgtqhRiZgH4zQKBeVKuhX8yVuxKoi1b-9s0clhcB3ocjl*uF7muPHhe1/Kakobe.jpg)
Stori: Gladyness Mallya Katika hali isiyo ya kawaida Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe amefunguka na Injili nzito kwa kuwataja baadhi ya wagombea urais kwamba waingie katika wokovu kamili badala ya kuwa na wokovu aliodai ni wa kuigiza. Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe. Katika moja ya mahubiri yake kanisani kwake Mwenge, Sam Nujoma Road, Askofu Kakobe ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru NewspaperNape awarushia kombora UKAWA
NA MWANDISHI WETUMCHAKATO wa Katiba Mpya umeendelea kutumika kama kichaka cha kuzuia vuguvugu la mabadiliko katika vyama vya upinzani nchini.
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Kinana awarushia kombora viongozi wa Chadema
NA ELIYA MBONEA, KARATU
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, ameanika ufisadi ulioko katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha, inayoongozwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Akihutubia wananchi katika Viwanja vya Mazingira mjini hapa jana, Kinana alisema viongozi wa halmashauri hiyo wameshindwa kuwaletea maendeleo wananchi, ingawa wamekuwa wakilaumu Serikali ya CCM kwamba haiwaletei maendeleo wananchi wake.
“Nyinyi mliochagua Chadema sijui...
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Dk Slaa atua Dar, arusha kombora zito
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s72-c/Christopher-Mtikila.jpg)
Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s400/Christopher-Mtikila.jpg)
KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta awarushia vijembe wanaoponda bunge
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDKYY3ozdHfq94QyyJXV27JdT4Eh6ZnEbyNJJil75CrbCUY7O4HvbefiDIh4NW-4m*Wkxn1-3v9ZHGcRdsprMekv/2014.jpg)
KAKOBE -3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz6QHFl3BVgugnqPhlMPX5HeBGXy8iCpw3G4EB4wY8rMMU*SJDlKMJfAfoS4JWs2YC*hw14XR1AY3yxZd3tIa1Ng/maxresdefault.jpg?width=650)
KAKOBE-6
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LBLpIbXCAr6KtfK9U8p8OhH8sDaLa3KRHQLzch*tzTLzXYs0sL-r6mExYOGv2TdxJcxqxczwttvJWZZEp6rS*TO/kakobe700.jpg?width=650)
KAKOBE- 4
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*Mufa*VUM4I7X4Ut7D7DcIyD-bMdbcZ2YywQ*GDXCx384KT2FD1aEepGsGBn86yBdx4XTKo17FOWXoHn2cYJq1M5/kobe.jpg?width=650)
KAKOBE- 5