Kalikitimoto: Sina mpinzani wa kinanda zaidi ya Abdul
TASNIA ya muziki wa taarabu nchini inazidi kuwa moja ya ajira kutokana na vijana wengi wenye vipaji wanaume kwa wanawake kuibuka kila kukicha kuchukua nafasi za magwiji waliopo ambao wamekuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Feb
Abdul Kiba asema Sauti za Busara ni zaidi ya darasa
10 years ago
VijimamboJe Nasib Abdul 'Diamond Platnumz' Amelinunua Gari Hili Aina ya Rolls Royce Lenye Thamani ya Zaidi ya Tshs 367,080,000 ?
![](http://4.bp.blogspot.com/-67qYHxZGbAo/VNcdrhT_lBI/AAAAAAAAoCE/yBTvTZyxxMk/s640/Rolls%2BRoyce.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Jun
Jaji Ramadhani: Nitapiga kinanda hata nikiwa rais
JAJI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhani (70), amerejesha fomu ya kuomba kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM na kusema ataendelea kumtumikia Mungu, hata akiteuliwa na baadaye akichaguliwa kuwa rais.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589168086774.jpg)
MPIGA KINANDA NGULI WA TOT JUMA JERRY AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e2z3n6NxJew/XrjMbdxqGrI/AAAAAAACKUk/Hf5vUubi918GCEno1WDOq1HBLJBtjSNkACLcBGAsYHQ/s400/FB_IMG_1589168086774.jpg)
Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki
Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.
Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.
Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa...
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Lukuvi ambeza mpinzani wake
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ismani kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), William Lukuvi, amembeza mpinzani wake anayegombea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Patrick Sosopi, kuwa hawezi kuvaa viatu vyake.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa vijiji vya Igingilanyi, Kising’a, Matembo na Ilambilole vilivyopo Isimani.
Alisema viatu vyake havimtoshi pia hana staha ya kuwashawishi wananchi kuwaletea maendeleo na...
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Dayna: Hakuna mpinzani wa Kanumba
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dyana Nyange ‘Dayna’, amesema hadi sasa hakuna mwigizaji wa filamu ambaye ameweza kufikia kiwango cha marehemu Steven Kanumba.
Akizungumza na Gazeti la Mtanzania, Dayna alisema tangu kufariki kwa Kanumba, tasnia ya filamu imebadilika na kuwa ya kawaida sana.
“Hakuna aliyeweza kufikia kiwango cha Kanumba, licha ya wengi wao kujituma na kujitahidi kufanya kazi na wasanii kutoka nje ya nchi,” alisema Dayna.
Mwanadada huyo aliendelea kusema ni vizuri...
10 years ago
Mtanzania25 May
Lukuvi apata mpinzani jimboni
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
JOTO la uchaguzi limeendelea kupanda baada ya mtaalamu wa kilimo cha umwagiliaji kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhandisi Sebastiani Kayoyo (39) kutangaza nia ya kuwani ubunge katika
Jimbo la Isimani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jimbo la Isimani linaongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza nia yake juzi, Mhandisi Kayoyo alisema amepania kuhakikisha...
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Dayna: Hakuna mpinzani wa Kanumba
NA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dyana Nyange ‘Dayna’, amesema hadi sasa hakuna mwigizaji wa filamu ambaye ameweza kufikia kiwango cha marehemu Steven Kanumba.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Dayna alisema tangu kufariki kwa Kanumba, tasnia ya filamu imebadilika na kuwa ya kawaida sana.
“Hakuna aliyeweza kufikia kiwango cha Kanumba, licha ya wengi wao kujituma na kujitahidi kufanya kazi na wasanii kutoka nje ya nchi,” alisema Dayna.
Mwanadada huyo aliendelea kusema ni...
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Mpinzani wa Lipumba afukuzwa uanachama
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limemvua uanachama mjumbe wake kutoka Mkoa wa Shinyanga, Chifu Lutayosa Yemba.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa ni mpinzani wa Profesa Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa CUF kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka jana, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za chama pamoja na kutumia vibaya jina la mwenyekiti wa chama hicho.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho cha Baraza Kuu...