Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamani akunjua makucha yake

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus KamaniWAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, ameagiza Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (Narco), kunyang’anya ranchi ndogo za ufugaji zinazomilikiwa na wawekezaji wazawa walioshindwa kuziendeleza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Dkt. Kamani aendelea na ziara yake Mkoani Rukwa


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akiwa katika zoezi la kuteketeza nyavu haramu alipotembelea mwalo wa Kasanga katika Mkoa wa Rukwa.

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akwasaidia wavuvi kukarabari mtumbwi wao tayari kwa kazi ya uvuvi alipotembelea mwalo wa Kasanga mkoani Rukwa.

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) mwenye miwani, alipomtembelea mfugaji...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI DKT TITUS KAMANI ATEKETEZA ZANA HARAMU ZA UVUVI KATIKA ZIARA YAKE MKOANI RUKWA

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Titus Mlengeya Kamani (wa kwanza kushoto) akiongoza zoezi la kuteketeza zana haramu za uvuvi huko Kasanga, Wilaya ya Kalombo mkoani Rukwa juzi wakati wa ziara yake. Zana haramu za uvuvi zikiteketea.…

 

9 years ago

Mtanzania

Balozi Seif akunjua kucha Zbar

balozi-seifc2a0-ali-iddiNa Mwandishi Wetu, Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar, imesema ipo tayari kutumia vyombo vyake vya dola kukabiliana na tishio lolote au mipango ya njama zinazokusudia kuleta vurugu wakati huu wa uchaguzi mkuu.

Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Idd, ameyasema hayo jana katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa kampeni za CCM zilizofanyika Kijiji cha Michamvi, Mkoa wa Kusini Unguja.

Alisema tayari kuna baadhi ya wanasiasa, wameanza kujiandaa kutumia makundi ya vijana ili kuleta fujo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DSE yakunjua makucha

WAANDISHI wa habari wametakiwa kuikumbusha serikali izifanyie kazi sheria mbili za madini na mawasiliano zilizotungwa na Bunge mwaka 2010, ili kuyabana makampuni makubwa yaliyowekeza nchini ya migodi na simu yaorodheshwe...

 

9 years ago

Mtanzania

Bodi ya barabara yakunjua makucha

RFBNa Esther Mnyika, Dar es Salaam

BODI ya Mfuko wa Barabara (RFB) imesitisha kupeleka fedha katika halmashauri tatu nchini zilizobainika kuwa na matumizi mabaya ya fedha hizo.

Zuio hilo lilitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa RFB, Joseph Haule, mbele ya Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, wakati akiwasilisha taarifa ya Bodi kuhusu mafanikio na changamoto wakati wa utekelezaji wa kazi.

Alizitaja halmashauri zinazohusika na hatua hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yakunjua makucha Tanzania

Mahakama Kuu nchini Tanzania imeiadhibu halmashauri ya wilaya ya Urambo kwa uzembe wa daktari wa hospitali yake

 

10 years ago

Vijimambo

WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!

NIJumanne nyingine, namshukuru Mungu ameniwezesha kuifikia kwa namna yoyote ile!
Jumanne yetu ya leo tutakuwa na mada isemayo ‘wanaoficha ‘makucha’ kabla ya ndoa ni hatari zaidi’.
Nimelifungia neno ‘makucha’ kwa sababu kimazoea tunaita hivyo lakini kiuhalisia si makucha ni kucha. Zikiwa nyingi, ikiwa moja ni kucha!

Kuna wanaoficha makucha kabla ya ndoa ni msemo au hoja ambayo ipo miongoni mwa jamii yetu! Wengi hudai wapo wanawake au wanaume wenye tabia hii! Kwamba, kabla hajaolea au hajaoa...

 

10 years ago

Mtanzania

CAG Profesa Assad aanza kukunjua makucha

Profesa Mussa Juma Assad

Profesa Mussa Juma Assad

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Professa Mussa Juma Assad, ameanza kukunjua makucha kwa kuwaonya watu wanaochanganya siasa na biashara.

Profesa Assad alitoa kauli hiyo jana katika mkutano wa mwaka wa wahasibu na wakaguzi zaidi ya 3,000 unaoendelea kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) mjini hapa.

“Kuna kitu nakiita kuchanganya siasa na wafanyabiashara, nawaambia lazima utenganishe mwingiliano binafsi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani