Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DSE yakunjua makucha

WAANDISHI wa habari wametakiwa kuikumbusha serikali izifanyie kazi sheria mbili za madini na mawasiliano zilizotungwa na Bunge mwaka 2010, ili kuyabana makampuni makubwa yaliyowekeza nchini ya migodi na simu yaorodheshwe...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Bodi ya barabara yakunjua makucha

RFBNa Esther Mnyika, Dar es Salaam

BODI ya Mfuko wa Barabara (RFB) imesitisha kupeleka fedha katika halmashauri tatu nchini zilizobainika kuwa na matumizi mabaya ya fedha hizo.

Zuio hilo lilitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa RFB, Joseph Haule, mbele ya Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, wakati akiwasilisha taarifa ya Bodi kuhusu mafanikio na changamoto wakati wa utekelezaji wa kazi.

Alizitaja halmashauri zinazohusika na hatua hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yakunjua makucha Tanzania

Mahakama Kuu nchini Tanzania imeiadhibu halmashauri ya wilaya ya Urambo kwa uzembe wa daktari wa hospitali yake

 

11 years ago

Mwananchi

TRA yakunjua makucha kwa waliozigomea EFD

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Singida imewapandisha kizimbani wafanyabiashara wanne wa Mjini Singida kwa makosa mbalimbali, ikiwemo kutotumia kwa makusudi mashine za kielekroniki (EFD) kukusanyia kodi, huku wakijua wazi ni kosa kisheria.

 

11 years ago

Habarileo

Kamani akunjua makucha yake

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus KamaniWAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, ameagiza Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (Narco), kunyang’anya ranchi ndogo za ufugaji zinazomilikiwa na wawekezaji wazawa walioshindwa kuziendeleza.

 

10 years ago

Mtanzania

CAG Profesa Assad aanza kukunjua makucha

Profesa Mussa Juma Assad

Profesa Mussa Juma Assad

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Professa Mussa Juma Assad, ameanza kukunjua makucha kwa kuwaonya watu wanaochanganya siasa na biashara.

Profesa Assad alitoa kauli hiyo jana katika mkutano wa mwaka wa wahasibu na wakaguzi zaidi ya 3,000 unaoendelea kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) mjini hapa.

“Kuna kitu nakiita kuchanganya siasa na wafanyabiashara, nawaambia lazima utenganishe mwingiliano binafsi...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!

NIJumanne nyingine, namshukuru Mungu ameniwezesha kuifikia kwa namna yoyote ile!
Jumanne yetu ya leo tutakuwa na mada isemayo ‘wanaoficha ‘makucha’ kabla ya ndoa ni hatari zaidi’.
Nimelifungia neno ‘makucha’ kwa sababu kimazoea tunaita hivyo lakini kiuhalisia si makucha ni kucha. Zikiwa nyingi, ikiwa moja ni kucha!

Kuna wanaoficha makucha kabla ya ndoa ni msemo au hoja ambayo ipo miongoni mwa jamii yetu! Wengi hudai wapo wanawake au wanaume wenye tabia hii! Kwamba, kabla hajaolea au hajaoa...

 

10 years ago

GPL

WANAOFICHA ‘MAKUCHA’ KABLA YA NDOA NI HATARI ZAIDI!

NIJumanne nyingine, namshukuru Mungu ameniwezesha kuifikia kwa namna yoyote ile!
Jumanne yetu ya leo tutakuwa na mada isemayo ‘wanaoficha ‘makucha’ kabla ya ndoa ni hatari zaidi’.
Nimelifungia neno ‘makucha’ kwa sababu kimazoea tunaita hivyo lakini kiuhalisia si makucha ni kucha. Zikiwa nyingi, ikiwa moja ni kucha! Kuna wanaoficha makucha kabla ya ndoa ni msemo au hoja ambayo ipo...

 

10 years ago

TheCitizen

DSE to have internet trading

The introduction of the SMS and internet trading at the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) this year is expected to improve the performance of the bourse.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani