Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRA yakunjua makucha kwa waliozigomea EFD

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Singida imewapandisha kizimbani wafanyabiashara wanne wa Mjini Singida kwa makosa mbalimbali, ikiwemo kutotumia kwa makusudi mashine za kielekroniki (EFD) kukusanyia kodi, huku wakijua wazi ni kosa kisheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

DSE yakunjua makucha

WAANDISHI wa habari wametakiwa kuikumbusha serikali izifanyie kazi sheria mbili za madini na mawasiliano zilizotungwa na Bunge mwaka 2010, ili kuyabana makampuni makubwa yaliyowekeza nchini ya migodi na simu yaorodheshwe...

 

9 years ago

Mtanzania

Bodi ya barabara yakunjua makucha

RFBNa Esther Mnyika, Dar es Salaam

BODI ya Mfuko wa Barabara (RFB) imesitisha kupeleka fedha katika halmashauri tatu nchini zilizobainika kuwa na matumizi mabaya ya fedha hizo.

Zuio hilo lilitangazwa jana jijini Dar es Salaam na Meneja wa RFB, Joseph Haule, mbele ya Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, wakati akiwasilisha taarifa ya Bodi kuhusu mafanikio na changamoto wakati wa utekelezaji wa kazi.

Alizitaja halmashauri zinazohusika na hatua hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yakunjua makucha Tanzania

Mahakama Kuu nchini Tanzania imeiadhibu halmashauri ya wilaya ya Urambo kwa uzembe wa daktari wa hospitali yake

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA: Mashine za EFD haziepukiki

WAKATI wafanyabiashara maeneo mbalimbali nchini wakiendelea na mgomo kupinga kununua mashine za EFDs, Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini, (TRA), Rished Bade, amesisitiza kuwa mashine hizo haziepukiki na...

 

11 years ago

TheCitizen

Traders, TRA meet over EFD

The Tanzania Business Community is in consultation with the Tanzania Revenue Authority to find the best way of how the controversial Electronic Fiscal Devices (EFDs) should be used by traders.

 

11 years ago

Mwananchi

TRA sasa yagwaya wafanyabiashara EFD

Wakati mgomo wa wafanyabiashara mkoani Mwanza unaendelea, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haitatumia ubabe kuwafungia maduka ambao watashindwa kuwa na Mashine za Kielektroniki (EFD).

 

11 years ago

IPPmedia

TRA should address EFD strike mayhem


TRA should address EFD strike mayhem
IPPmedia
No doubt, the wish of most Tanzanians is for the government to take appropriate actions to create an enabling environment for smooth business operations in the country. These include not only instituting tax measures that are rational, but also those which ...
S'wanga traders stick to their guns on EFD useDaily News

all 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani