Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii yafurahishwa na miradi ya Vijana
![](http://4.bp.blogspot.com/-4Ctxr3bz85M/VL7e_Jqda0I/AAAAAAAG-jc/xlHcbHq7a8k/s72-c/PIXAa.jpg)
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke Mhe.Maabad S. Hoja akifafanua jambo wakati wa kikao na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii walipofanya ziara ya kutembelea Vikundi vya Vijana vilivyopata mkopo kutoka Wizara ya Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa hiyo Bw. P. Kagimbo, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Juma Nkamia (MB) na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
10 years ago
Habarileo04 Nov
Kamati ya Bunge yafurahishwa na Sudan
KAMATI ya Kudumu ya Bunge imemaliza ziara yake ya siku nne nchini Sudan mwishoni mwa wiki iliyopita na kufurahishwa na namna Serikali ya nchi hiyo, inavyotumia vyema maji ya Bonde la Mto Nile, kutekeleza miradi ya maendeleo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_a0dRHjgAI/VE-_wohAvVI/AAAAAAAGt4I/P9Iew6zUSP8/s72-c/MMGM1036.jpg)
Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii yafanya ziara katika Miradi mitatu ya NSSF jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_a0dRHjgAI/VE-_wohAvVI/AAAAAAAGt4I/P9Iew6zUSP8/s1600/MMGM1036.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gBTPzPp4X6Y/Xk064qCBQeI/AAAAAAALeVE/24S3R5gHzLI6EzYuhx2aF4oiiZ3AVTz5wCLcBGAsYHQ/s72-c/tff2-1.jpg)
KAMATI ya Utendaji yaTFF imeunda Kamati ya Maendeleo ya Miradi
![](https://1.bp.blogspot.com/-gBTPzPp4X6Y/Xk064qCBQeI/AAAAAAALeVE/24S3R5gHzLI6EzYuhx2aF4oiiZ3AVTz5wCLcBGAsYHQ/s640/tff2-1.jpg)
Kabla ya kuunda Kamati hiyo, Kamati ya Utendaji ilipokea taarifa ya maandalizi ya utekelezaji wa miradi hiyo kwenye kikao chake kilichofanyika Februari 18, 2020 jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati hiyo ni QS Lucy Mzengi (Mwenyekiti), Mhandisi Hersi Said, Mhandisi Hamad Ramadhan, na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O4oYJIUB2qc/XnBWSw90_5I/AAAAAAALkAo/ofgQxOzce5AFTqeKk23SHDTv4WeTNg0DQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
kamati ya hesabu za serikali za mitaa yakoshwa na miradi ya maendeleo Makambako
Kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa LAAC imeridhishwa na hali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe,na kuahidi kuongeza nguvu serikalini ili kusaidia ukamilishwaji wa ujenzi wa majengo ya makao makuu ya halmashauri hiyo.
Makamu mwenyekiti wa kamati ya LAAC Abdalah Chikota ambaye ni mbunge wa jimbo la Nanyamba amesema hali ya utekelezaji wa miradi katika halmashauri ya mji wa Makambako inaridhisha...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Kamati ya mawasiliano na ujenzi ya Baraza la wawakilishi yatembelea miradi ya maendeleo
Wajumbe wa kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi wakitembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Idara ya Ujenzi wa Barabara (UUB). Mwenyekiti wa Kamati hiyo wakwanza (kushoto) Mahmoud Muhammed Mussa akiwa na wajumbe wenzake na watendaji wakuu wa UUB wakikagua barabara ya Chaani iliopo Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Unguja. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Mhandisi Mkuu wa UUB Eng. Cosmas Masolwa akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ...
9 years ago
MichuziUDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII
Katika sekta ya elimu, ongezeko kubwa la shule kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu limeshuhudiwa. Hii ni moja ya hatua kubwa kuwahi kufikiwa...