Kamati ya Bunge yatilia shaka ujenzi DIT
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imetoa agizo kwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi kufanya ukaguzi wa kina katika mradi wa ujenzi wa jengo la kufundishia la Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) na kujiridhisha kuhusu gharama na muda unaotumika katika mradi huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Oct
DP yatilia shaka kifo cha Mtikila
NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Chama Cha Demokratic (DP), umesema una shaka na mazingira ya ajali iliyosababisha kifo cha mweyekiti wa chama hicho, Mchungaji Christopher Mtikila.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Mikocheni Dar es Salaam jana, Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya alisema kuna mambo yanashitusha namna tukio zima lilivyotokea.
Alisema kuna picha zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii, zikionesha jinsi Mtikila alivyopata ajali.
“Tukio hili...
11 years ago
Mwananchi21 May
CPT yatilia shaka mchakato wa Katiba Mpya
10 years ago
StarTV05 May
Kamati ya bunge maliasili, yaitupia lawama Wizara ya Ujenzi.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imekataa kujadili Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii baada ya Wizara hiyo kukiuka makubaliano na kamati hiyo na kusababisha hasara kwa taifa baada ya kuziba mianya ya kuziingizia fedha hifadhi za taifa.
Miongoni mwa mianya hiyo ni pamoja na utaratibu wa kuingia kwenye hifadhi mara mbili uliosababisha hasara ya Shilingi bilioni 15 kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, huku ucheleweshwaji wa tozo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oknu7fJWIIg/U2jsWuyuQ8I/AAAAAAAFf6o/MlO1qCGkEgQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q-Hzwb1NEtE/Xm4Nspoh0zI/AAAAAAALjuE/9Dj-YfiOfrgHK4xEkVa4DaPInPc4k35mwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-41.jpg)
KAMATI YA BUNGE YAUBEBA MRADI UJENZI MAKTABA YA CHUO CHA ARDHI TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q-Hzwb1NEtE/Xm4Nspoh0zI/AAAAAAALjuE/9Dj-YfiOfrgHK4xEkVa4DaPInPc4k35mwCLcBGAsYHQ/s640/1-41.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akitolea ufafanuzi hoja zilizowasilishwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii kuhusiana na mradi wa ujenzi wa Maktaba ya Chuo cha Ardhi Tabora wakati kamati hiyo ilipokwenda kukagua maendeleo ya mradi huo mwishoni mwa wiki . Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati Kemilembe Lwota na kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tabora Agrey Mwanri.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/4-35.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ouihL5xM_w/U5q83LeHuCI/AAAAAAAFqTg/8xPEzL_8dm0/s1600/unnamed+(80).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W5rNcOAdNvw/Xm4Zik7adxI/AAAAAAALjv0/UtVw0V1MqxgrWKoHHNt1z6MO0hb7HVgmwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-1-4.jpg)
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa yafanya ukaguzi na kuridhishwa na ujenzi wa hospitali halmashauri ya Mbulu
![](https://1.bp.blogspot.com/-W5rNcOAdNvw/Xm4Zik7adxI/AAAAAAALjv0/UtVw0V1MqxgrWKoHHNt1z6MO0hb7HVgmwCLcBGAsYHQ/s1600/unnamed-1-4.jpg)
Muonekano wa baadhi ya majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Halmashauri ya Mbulu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/unnamed-2-2.jpg)
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe Mwita Waitara akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji Hudson Kamoga.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/unnamed-3-1.jpg)
Naibu Waziri Manejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Mary Mwanjelwa akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji Hudson Kamoga.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/unnamed-4-1.jpg)
Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe Daniel Mtuka(aliyeshika simu), Mbunge wa jimbo la Kilolo Mhe Venance Mwamoto(wa tatu kutoka kushoto), Mbunge wa jimbo la Kyerwa Mhe Innocent...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA (NUU) YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA USEREMALA GEREZA MSALATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s640/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndugu Christopher D. Kadio (wa nne toka kushoto ) akimkaribisha Mkuu wa Msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,ambaye ni Mbunge wa Zanzibar Jimbo la Uzini ndugu Salum Rehani(wa nne toka kulia) walipowasili eneo la Mradi, Msalato. Wa tatu toka kushoto ni Kamishna Jenerali wa...