KAMATI ZA BUNGE LA KATIBA ZAKUTANA MJINI DODOMA LEO

Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 11 ya Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Hamad Yussuf Massauni akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo kwenye ukumbi wa mikutano wa St. Gasper kuhusu mambo yaliyojiri katika Kamati yake.Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Bakari Kishoma.
Baadhi wa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wa Kamati Namba 11 wakiwa wanaendelea na kikao cha Kamati hiyo mjini Dodoma leo kwenye ukumbi wa mikutano wa St. Gasper.
Mwenyekiti wa Kamati Namba Moja ya Bunge Maalum la Katiba,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kamati za Bunge Maalum la Katiba zaendelea kukutana mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Kamati Namba 12 ya Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Paul Kimiti (katikati) akijadiliana jambo na baadhi ya wajumbe wa Kamati yake yake leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Hazina mjini Dodoma.
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Pinda akiwa kwenye kikao cha kamati ya Bunge la Katiba mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bnge Maalum la katiba kwenye viwanja vya hoteli ya St. Gaspar mjini Dodoma Agosti 7, 2014 ambako vikao vya kamati nne vinafanyika. Kutoka kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utaala Bora, Capt George Mkuchika, Faida Bakari na Dr. Ave Maria Semakafu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) .
11 years ago
MichuziMWENYEKITI WA KAMATI NAMBA 1 YA BUNGE LA KATIBA AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI MJINI DODOMA
10 years ago
MichuziKamati ya Uongozi ya Bunge yakutana mjini dodoma leo
11 years ago
Michuzi.jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
KUTOKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO



