Kambi Mbwana achukua fomu ya ubunge Handeni Vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s72-c/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Mwandishi wa Habari za Michezo na mdau wa maendeleo ya wilaya ya Handeni, Kambi Mbwana, mwenye fulana ya CCM, akikabidhiwa fomu ya kuwania Ubunge, Jimbo la Handeni Vijijini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Katibu Msaidizi wa CCM wilayani Handeni, Asha Muya, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Kulia kwa Mbwana ni Jerome Mhando, mmoja wa wadau waliomsindikiza katika tukio la uchukuaji fomu ya kuwania nafasi ya kuwatumikia wana Handeni. Picha na Mpiga Picha Wetu.
Kambi Mbwana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s72-c/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
MWanahabari Kambi Mbwana achukua fomu ya ubunge Handeni Vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s640/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Na Mwandishi Wetu,...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/kingwendu.jpg?width=650)
KINGWENDU ACHUKUA FOMU YA UBUNGE
9 years ago
Michuzi14 Aug
MREMA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE
![IMAG0392 (3)](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/2qJk_vB3GsnOB4muUi4VB81yJHlVEhwWoNporLUWwmpLMZiCoQ_dxJZbMqhtRXMBNNWKjWXP_El2GrnwMQ36mWz-8qA-16wvq3JadEiWGtGzVACjB8TNjbFN-g=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/imag0392-3.jpg?w=660)
……………………………………………………………………………….. MGOMBEA ubunge jimbo la Vunjo na mwenyekiti wa chama cha TLP ,Agustino Lyatonga Mrema ametamba kuwa jimbo hilo ni mali yake na hayuko tayari kuona likichukuliwa na manyang’au aliodai wa Ukawa. Mrema alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Habarileo17 Jul
Msaidizi wa Kikwete achukua fomu ya ubunge
KATIBU wa Rais Jakaya Kikwete, Prosper Mbena amevunja ukimya wa minong’ono ya muda mrefu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, baada kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi ( CCM).
11 years ago
MichuziRidhwani achukua fomu za Ubunge Chalinze
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s72-c/1.jpg)
NYALANDU ACHUKUA FOMU YA NEC KUWANIA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxTTflN12aE/VdWPTm4WA_I/AAAAAAAAxyQ/kXUr9AjgpLc/s640/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Th3OZYT9rWE/VWDFwQ_66WI/AAAAAAAABqc/TrQnJFr3wmI/s72-c/Zitto--30march2015.jpg)
ZITTO KABWE ACHUKUA RASMI FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Th3OZYT9rWE/VWDFwQ_66WI/AAAAAAAABqc/TrQnJFr3wmI/s400/Zitto--30march2015.jpg)
Safari ya mbunge wa zamani wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema, Zitto Kabwe kurejea bungeni imeanza rasmi baada ya kiongozi huyo wa chama kipya cha ACT-Wazalendo kuchukua fomu za kuwania kuongoza jimbo la Kigoma Mjini.
Uamuzi huo wa kulitaka jimbo hilo unathibitisha kauli zake ambazo amekuwa akizitoa kwa muda mrefu kuwa hatarudi tena Kigoma Kaskazini kwa kuwa alishawatimizia kila kitu na haoni sababu za kuwawakilisha tena wananchi wa eneo hilo.
Kauli yake iliibua ubashiri kuwa Zitto...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-aP8tDQxkli4/VazdbsquJqI/AAAAAAAD0B0/gxv11qzAB3s/s72-c/Daudi%2BPaulo%2BMsungu%2Bkuwania%2Bkiti%2Bcha%2BUbunge%2Bjimbo%2Bla%2BLindi%2BMjini%2Bkwa%2Bridhaa%2Bya%2BCCM.jpg)
Lindi Kumekucha DAUDI MSUNGU achukua fomu za Ubunge
![](http://1.bp.blogspot.com/-aP8tDQxkli4/VazdbsquJqI/AAAAAAAD0B0/gxv11qzAB3s/s640/Daudi%2BPaulo%2BMsungu%2Bkuwania%2Bkiti%2Bcha%2BUbunge%2Bjimbo%2Bla%2BLindi%2BMjini%2Bkwa%2Bridhaa%2Bya%2BCCM.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WMyZiIneN9Y/VazdbvecLRI/AAAAAAAD0B4/OV-ThLahUnA/s640/Daudi%2BPaulo%2BMsungu%2Bakikabidhi%2BFomu%2Bbaada%2Bya%2Bkuijaza%2Bkuwania%2Bkiti%2Bcha%2Bubunge%2Bwa%2BLindi%2BMjini%2Bkwa%2Bridhaa%2Bya%2BCCM.jpg)