MWanahabari Kambi Mbwana achukua fomu ya ubunge Handeni Vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s72-c/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Mwandishi wa Habari za Michezo na mdau wa maendeleo ya wilaya ya Handeni, Kambi Mbwana, mwenye fulana ya CCM, akikabidhiwa fomu ya kuwania Ubunge, Jimbo la Handeni Vijijini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Katibu Msaidizi wa CCM wilayani Handeni, Asha Muya, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Kulia kwa Mbwana ni Jerome Mhando, mmoja wa wadau waliomsindikiza katika tukio la uchukuaji fomu ya kuwania nafasi ya kuwatumikia wana Handeni. Picha na Mpiga Picha Wetu.
Na Mwandishi Wetu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s72-c/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Kambi Mbwana achukua fomu ya ubunge Handeni Vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s640/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Kambi Mbwana...
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Mwanahabari achukua fomu za udiwani kata ya Kipawa jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-B7lCZ6kOQOU/VanUZ3V4JbI/AAAAAAAAhmA/2lJGZ4ywarg/s640/IMG-20150717-WA026.jpg)
Kada wa Chama cha Mapinduzi, Emmanuel Barnabas Maro, anayewania kuteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya udiwani katika kata ya Kipawa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam akionyesha fomu alizokabidhiwa na Katibu kata ya Kipawa Amina Sebo.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/kingwendu.jpg?width=650)
KINGWENDU ACHUKUA FOMU YA UBUNGE
9 years ago
Michuzi14 Aug
MREMA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE
![IMAG0392 (3)](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/2qJk_vB3GsnOB4muUi4VB81yJHlVEhwWoNporLUWwmpLMZiCoQ_dxJZbMqhtRXMBNNWKjWXP_El2GrnwMQ36mWz-8qA-16wvq3JadEiWGtGzVACjB8TNjbFN-g=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/imag0392-3.jpg?w=660)
……………………………………………………………………………….. MGOMBEA ubunge jimbo la Vunjo na mwenyekiti wa chama cha TLP ,Agustino Lyatonga Mrema ametamba kuwa jimbo hilo ni mali yake na hayuko tayari kuona likichukuliwa na manyang’au aliodai wa Ukawa. Mrema alitoa kauli hiyo...
11 years ago
MichuziRidhwani achukua fomu za Ubunge Chalinze
10 years ago
Habarileo17 Jul
Msaidizi wa Kikwete achukua fomu ya ubunge
KATIBU wa Rais Jakaya Kikwete, Prosper Mbena amevunja ukimya wa minong’ono ya muda mrefu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, baada kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi ( CCM).
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s72-c/1.jpg)
NYALANDU ACHUKUA FOMU YA NEC KUWANIA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxTTflN12aE/VdWPTm4WA_I/AAAAAAAAxyQ/kXUr9AjgpLc/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-aP8tDQxkli4/VazdbsquJqI/AAAAAAAD0B0/gxv11qzAB3s/s72-c/Daudi%2BPaulo%2BMsungu%2Bkuwania%2Bkiti%2Bcha%2BUbunge%2Bjimbo%2Bla%2BLindi%2BMjini%2Bkwa%2Bridhaa%2Bya%2BCCM.jpg)
Lindi Kumekucha DAUDI MSUNGU achukua fomu za Ubunge
![](http://1.bp.blogspot.com/-aP8tDQxkli4/VazdbsquJqI/AAAAAAAD0B0/gxv11qzAB3s/s640/Daudi%2BPaulo%2BMsungu%2Bkuwania%2Bkiti%2Bcha%2BUbunge%2Bjimbo%2Bla%2BLindi%2BMjini%2Bkwa%2Bridhaa%2Bya%2BCCM.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WMyZiIneN9Y/VazdbvecLRI/AAAAAAAD0B4/OV-ThLahUnA/s640/Daudi%2BPaulo%2BMsungu%2Bakikabidhi%2BFomu%2Bbaada%2Bya%2Bkuijaza%2Bkuwania%2Bkiti%2Bcha%2Bubunge%2Bwa%2BLindi%2BMjini%2Bkwa%2Bridhaa%2Bya%2BCCM.jpg)