Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni za Chauma leo

Chama cha Ukombozi na Maendeleo (Chauma), kinazindua kampeni zake leo katika viwanja vya Bakhresa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA UKOMBOZI (CHAUMA), CHAZINDUA KAMPENI ZAKE VIWANJA VYA BAKHRESA MANZESE DAR ES SALAAM LEO

 Mwananchi aliyevalia nguo za Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiondolewa na askari polisi baada ya kujipenyeza kwenye uzinduzi wa kampeni za Chama cha Ukombozi Umma (Chauma), uliofanyika viwanja vya Bakhresa Manzese Dar es Salaam leo. Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi (Chauma), Dk. Hashim Rungwe, akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho, uliofanyika viwanja vya Bakhresa Manzese Dar es Salaam leo.
 Mzee wa chama hicho, Mbwana Hassan Mbwana akihutubia kwenye...

 

9 years ago

StarTV

Leo ni leo Kipenga cha kampeni kimepulizwa.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akitangaza kuanza kwa kampeni za vyama vya siasa vilivyosimamisha wagombea wa urais, ubunge na udiwani. Kushoto ni makamu mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid na mkurugenzi wa uchaguzi, Kailima Kombwey.   Picha na Anthony Siame   Hatimaye kipenga cha kampeni za uchaguzi mkuu kimepulizwa leo wakati wagombea, vyama na mawakala wao watakapotumia siku zisizopungua 63 kujinadi na kunadi vyama vyao, huku wasomi...

 

9 years ago

StarTV

CHAUMA chaeleza matumaini ya kupata ushindi

 

Zikiwa zimebaki siku 29 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi cha Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Hashim Rungwe ametoa tathimini yake juu ya mwenendo wa kampeni pamoja na matumaini yake katika kupata ushindi.

Rugwe amesema ingawa ziko changamoto zinazojitokeza lakini kwa ujumla kampeni zinakwenda vizuri na ana matumaini makubwa ya kuingia Ikulu kutokana na watanzania kuhitaji mabadiliko.

 

Akiwa Singida ambao ni mkoa wa 10 katika mwendelezo wa ziara...

 

11 years ago

Mwananchi

Rungwe asingeweza kuvunja Kanuni za Bunge- Chauma

Chama cha Umma (Chauma) kimeeleza sababu za kumsimamisha mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa Bunge la Katiba baada ya kuona dalili mapema kuwa mwenyekiti wa sasa anaweza kuvunja kanuni za uendeshaji wa chombo hicho.

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea urais Chauma kusimamia sekta ya afya

MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama cha Chauma, Hashim Rungwe amesema kuwa Watanzania wampatie ridhaa ya kuongoza ili awaweze kusimamia sekta ya afya.

 

9 years ago

StarTV

Mgombea CHAUMA aahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa raia

Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kikatili yakiwemo  mauaji ya alibino,mauaji ya vikongwe, ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA) kimesema endapo watanzania watakipatia ridhaa ya kuongozi nchi kitahakikisha kinakomesha vitendo vya kikatili kwa makundi hayo kwa kujenga makambi maalumu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wake.

Hayo yamesemwa na mgombea urais kupitia chama hicho Hashim Rungwe akiwa katika mkutano wa kampeni wilayani Nzega Mkoani Tabora...

 

10 years ago

TheCitizen

Chauma candidate in second attempt to clinch TZ’s topmost political post

The presidential aspirant from Chama cha Ukombozi wa Umma (CHauma) Mr Hashim Rungwe yesterday collected the presidential nomination forms, saying he has what it takes to lead the country.

 

9 years ago

StarTV

Mgombea Ubunge CHAUMA aishauri Tume kusimamia haki

Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Eugene Kabendera ameitaka Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo kwa haki bila kupendelea upande wowote baada ya uchaguzi mkuu.

Kabendera amesema Jimbo la Ubungo lina changamoto nyingi hasa ya maji inayosumbua kwa muda mrefu sasa hivyo anahitajika mbunge kijana kama yeye kusimamia jimbo hilo na kuleta maendeleo.

Kabendera ametoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kusema kuwa haki ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Chausta kuzindua kampeni leo

Mgombea wa ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Chama cha Chausta, Richard Minja atazindua kampeni zake rasmi leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani