Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA East Africa Unique Co.LTD KUENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Kampuni ya East Africa Unique Co.LTD imeandaa semina itakayo anza mwezi April mwaka huu kwa wafanyabiashara juu ya kuwajengea uwezo wenye miradi itakayo kuwa na uaminifu na kujituma kulingana na uwezo pamoja na ukomo wao.
Akizungumza leo na Waandishi wa Habari,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo,Rodgers Mbaga amesema Kampuni hiyo ambayo inashughulika na ushauri,mawasiliano ya masoko imebuni na kupanga Maonyesho ya Kukuza Uwekezaji-TIPEC kwa lengo la kuweka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA

Shafii Mwaijande Ofisa Mtendaji Mkuu wa China Word Buz kwa upande wa Tanzania akizungumza na wafanya biashara wadogo na wakati kwenye ukumbi wa Triple A jijini Arusha wakati wa Semina kwa wafanya biashara hao iliyofanyika siku ya jana, kuhusu mfumo utakaosaidia wafanyabiashara wadogo wa Tanzania kutafuta masoko ya bidhaa nchini China na kuwapa taarifa sahihi za masoko kwa msaada wa kampuni hiyo,Mfumo huo hautampa gharama kubwa...

 

11 years ago

Michuzi

PBZ Islamic Yatowa semina kwa Mashekh na Wafanyabiashara kuhusiana na Benk za Kiislam


 

Shekh.Ali Sharif Maalim akisoma Quran kabla ya Ufunguzi wa Semina hiyo ilioandaliwa na PBZ Islamic Bank, iliofanyika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Grand Palace Malindi. Dkt. Ziddy akifungua semina ya siku moja ya kuzungumzia Bank za Kiislam, ilioandaliwa na PBZ Islamic,na kuwashirikisha Mashekh na Wafanyabiashara wa Zanzibar kuhusiana na riba, semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Grand Palace Malindi.    Mkurugenzi Huduma Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Said...

 

10 years ago

Michuzi

EWURA YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA WA MAFUTA MIKOA YA RUKWA NA KATAVI MJINI SUMBAWANGA

Meneja Ufundi Idara ya Petroli EWURA Ndugu Gerald Maganga akiwasilisha moja ya mada katika Semina kwa Wafanyabiashara wa Mafuta Mikoa ya Rukwa na Katavi katika ukumbi wa Moravian Centre Mjini Sumbawanga tarehe 15 April 2015. Kushoto ni Afisa Uhusiano EWURA Ndugu Wilfred Edwin. Miongoni mwa mada zilizowasilishwa katika Semina hiyo ni Udhibiti na Kanuni za Ukokotoaji wa bei za Mafuta, Ubora wa Miundimbinu, Usalama na Utunzaji wa Mazingira katika Sekta ya Mafuta ya Petroli, Faida za kutumia...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA MICHEZO YA BAHATI NASIBU YAKABIDHI LESENI KWA KAMPUNI YA MURHANDZIWA KUENDESHA MICHEZO HIYO

 Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Michezo ya bahati nasibu , Bw Abbass Talimba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi leseni ya kuendesha bahati nasibu ya Taifa kwa Kampuni ya Murhandziwa.Bodi ya Michezo ya bahati nasibu ya Taifa leo imetoa leseni ya kuendesha Bahati nasibu ya Taifa kwa Kampuni ya Murhandziwa ambayo itakuwa ikiendesha bahati nasibu hiyo hapa nchini ambapo Bahati nasibu hiyo itaanza mnamo tarehe 4 Julai 2015.Bei ya tiketi zitakazouzwa...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

East Africa: Why All East Africans Are Looking Up to Magufuli


The Observer
East Africa: Why All East Africans Are Looking Up to Magufuli
AllAfrica.com
In the club of East Africa's Presidents, Tanzania's new leader John Pombe Magufuli is a lonely man. His peers threw their weight behind his electoral opponent, and when he won, they refused to even acknowledge him with routine congratulations. In ...
What would Magufuli do to attain sustainable energy access in Africa?The Observer (blog)

all 5

 

10 years ago

Michuzi

Kampuni ya maji ya Kisima AQUA COOL LTD yatoa msaada wa nguo za kujikinga na mvua kwa wafanyabiashara wadogo wadogo jijini dar

Na Niccomeditz
KUTOKANA na mvua kubwa zilizonyesha karibu maeneo yote ya nchi na kuleta maafa hususan katika jijin la Dar es Salaam Kampuni ya Aqua Cool Ltd Watengenezaji wa maji safi ya Kisima Pure Drinking Water imetoa msaada wa mavazi ya kujikinga na mvua ya mpira (ponchos) kwa wakazi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Msaada huo ulitolewa na uongozi na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa makundi mbalimbali kama watembea kwa miguu, mama lishe , waendesha bodaboda na...

 

10 years ago

Dewji Blog

YAMOTO Band Live kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London { Made in East Africa }

   Confirmed…21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever…When we Say Live, we mean  Live with Full Band & Dancers… This is one show that’s not to be Missed… Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty  Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa Yamoto Band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka  Zurii...

 

10 years ago

Michuzi

CNBC Africa / AABLA AWARDS - Winners East Africa 2015


Tanzanians: Edha Nahdi (AMSONS GROUP/CAMELOIL), Reginal Mengi (IPP), Mohammed Dewji (MeTL)
Big Up for Tanzanians. For whole report click the links below:http://www.aablawards.com/east-africa.php
http://venturesafrica.com/meet-the-east-african-winners-of-aabla-2015/
Mohammed-Dewji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani