PBZ Islamic Yatowa semina kwa Mashekh na Wafanyabiashara kuhusiana na Benk za Kiislam
Shekh.Ali Sharif Maalim akisoma Quran kabla ya Ufunguzi wa Semina hiyo ilioandaliwa na PBZ Islamic Bank, iliofanyika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Grand Palace Malindi.
Dkt. Ziddy akifungua semina ya siku moja ya kuzungumzia Bank za Kiislam, ilioandaliwa na PBZ Islamic,na kuwashirikisha Mashekh na Wafanyabiashara wa Zanzibar kuhusiana na riba, semina hiyo imefanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Grand Palace Malindi.
Mkurugenzi Huduma Benki ya Watu wa Zanzibar Ndg Said...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RpweQSTYkm0/VcuaQewyqlI/AAAAAAAB4xo/nGbKeiAcIeQ/s72-c/KL1.jpg)
PBZ WASHIRIKI MKUTANO WA 6 WA ASIA ISLAMIC BANK, KUALA LUMPUR, MALAYSIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-RpweQSTYkm0/VcuaQewyqlI/AAAAAAAB4xo/nGbKeiAcIeQ/s640/KL1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eyyV325k3Oc/VcuaQcrD9WI/AAAAAAAB4xs/dsLpYYNxtTI/s640/KL2.jpg)
10 years ago
VijimamboTCRA YAENDESHA SEMINA KWA BLOGGERS KUHUSIANA NA SHERIA ZA UCHAGUZI NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f13l-CIeurQ/VQhQapgd8lI/AAAAAAAHLEo/Vky2hxn6Fyk/s72-c/unnamed.jpg)
KAMPUNI YA East Africa Unique Co.LTD KUENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA
Kampuni ya East Africa Unique Co.LTD imeandaa semina itakayo anza mwezi April mwaka huu kwa wafanyabiashara juu ya kuwajengea uwezo wenye miradi itakayo kuwa na uaminifu na kujituma kulingana na uwezo pamoja na ukomo wao.
Akizungumza leo na Waandishi wa Habari,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo,Rodgers Mbaga amesema Kampuni hiyo ambayo inashughulika na ushauri,mawasiliano ya masoko imebuni na kupanga Maonyesho ya Kukuza Uwekezaji-TIPEC kwa lengo la kuweka...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/132.jpg)
KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BTsOv24oPq0/VS9izK4ar5I/AAAAAAAAGxk/5Yn7FgRVGds/s72-c/IMG_5708.jpg)
EWURA YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA WA MAFUTA MIKOA YA RUKWA NA KATAVI MJINI SUMBAWANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BTsOv24oPq0/VS9izK4ar5I/AAAAAAAAGxk/5Yn7FgRVGds/s1600/IMG_5708.jpg)
10 years ago
MichuziNSSF MKOA WA TEMEKE YAWAPA SEMINA WAAJIRI WAKE KUHUSIANA NA MOBORESHO YA HUDUMA WANAZOTOA
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Timu ya Zanzibar Heroes ya Marekani yapokea jezi kutoka kwa wahisani wa PBZ
Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi walihudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...