KAMPUNI YA HUAWEI ILIVYOZINDUA SIMU YA P8

Mkurugenzi wa Masoko na bidhaa wa Huawei ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini Jaco Van Zyl akielezea matumizi simu mpya ya Huwei P8 wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika katika klabu ya Country nchini Afrika ya Kusini.
Maofisa waandamizi wa kampuni ya Huawei wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa hafla ya uzinduzi wa simu ya kisasa ya P8 uliofanyika katika klabu ya Country mjini Johanessburg nchini Afrika ya Kusini.
Mkurugenzi wa Masoko na bidhaa wa Huawei nchini Afrika Kusini Yudi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TECNO YAZINDUA SIMU MPYA YA PHANTOM 5 WENGI WAICHANGAMKIA
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Huawei P8 ni simu bomba
Katika soko la Tanzania zipo aina mbalimbali lakini kati ya hizo simu ya P8 iliyozinduliwa na kampuni ya Huawei mwaka huu ni moja ya simu bora ambayo ina kiwango cha hali ya juu.
Umbo la simu hii ni la kuvutia kiasi kwamba muda wote ninapokuwa naitumia kwenye kazi zangu najivunia kuwa na kifaa bora cha kisasa kinaconirahisishia kazi zangu za kupiga picha na kuandika habari.
Kinachonivutia zaidi katika simu hii ni kuwa na kamera yenye uwezo wa kurekodi video na kupiga picha zinazotoka kwa...
10 years ago
Michuzi.jpg)
HUAWEI yazindua simu mpya ya Ascend P8
.jpg)
KAMPUNI nguli sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano ya Huawei imezindua simu mpya aina ya Ascend P8 ikiwa ni muendelezo wa kampuni hiyo kuleta mapinduzi kwenye nyanja ya mawasiliano ulimwenguni. Akizungumza kwenye uzinduzi wa simu hiyo kimataifa uliofanyika kwenye jiji la London, Uingereza mwishoni mwa wiki, Afisa Mtendaji Mkuu wa Biashara wa kampuni hiyo, Bw....