Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA MEGATRADE WATENGENEZAJI WA KVANT WANOGESHA TAMASHA LA WAKAZI WA TABATA SHULE

Msimamizi Mkuu wa Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Albet Kingu kushoto akimkabidhi zawadi ya chupa ya Kvant 750ml Ally Yanga wakati wa tamasha lililowakutanisha wakazi wa tabata shule mwishoni mwa wiki tamasha hilo lilidhaminiwa na kampuni hiyo kwa ajili ya kutoa burudani mbalambali kwa wakazi hawoMaofisa wa Kampuni ya Kampuni ya Megatrade inayotengeneza kunywaji cha Kvant wakiburudika kwa pamoja wakati wa tamasha waliloliandaa kwa ajili ya wakazi wa tabata shule wiki iliyopita na kutoa zawadi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MEGATRADE YATOA MSAADA YA VYAKULA MASHULENI


CMeneja Masoko wa kampuni ya Megatrade Ivestment Goodluck Kway kulia, akimkabidhi msaada wa vyakula  diwani wa kata ya sokoni one Michael Kivuyo kwaajili ya shule za msingi katika kata hiyo ambazo ni shule ambazo  zinaukosefu mkubwa wa chakula cha wanafunzi hali inayopeleka masomo kudorora na wanafunzi kuzimia ovyo kwa ajilii ya njaa mashuleni hali hiyo ilipelekea kampuni hiyo kujitolea msaada uliogharimu kiasi cha shilingi Milioni moja,msaada huo ni Magunia ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama C’s, Red Lax wanogesha Tamasha la Kizimkazi 2013

MSANII nyota anayetamba na miondoko ya reggae nchini Jamaica na Ulaya, Charley Anderson ‘Red Lax’ usiku wa kuamkia jana amepagawisha umati wa wapenda burudani waliofurika kwenye msimu wa nne wa...

 

10 years ago

Vijimambo

UPENDO NKONE, MIKE KALAMBAY WANOGESHA TAMASHA LA GOSPEL COLUMBUS, OHIO

Mwimbaji wa nyimbo za injili wa Columbus, Ohio Enock Mwamba(kati) akiimba moja ya nyimbo za injili huku akiwashirikisha Mike Kalambay aliyekuja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Upendo Nkone aliyekuja toka Tanzania maalum kunogesha tamasha la Gospel lililofanyika siku Jumapili May 24, 2015 na kuhitimisha tamasha hilo lililokua la siku 3 mjini humo lililoanzia siku ya Ijumaa May 22, 2015.Mike Kalambay akiimba huku akitoa neno la Mungu kwa Kifaransa kilichochanganyika na lingala huku...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS


Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kushoto akipokea cheti cha ubora wa bidhaa za kampuni hiyo kutoka kwa mkurugenzi wa kampuni ya viwango nchini TBS Bw. Joseph Masikitiko wakati wa utoaji wa vyeti hivyo uliofanyika katika ofisi za TBS Dar es salaamMeneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade investment limited Godfrey Mkunde kulia akiwa na Msimamizi mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Albert Kingu.Meneja wa Kanda ya Pwani wa Kampuni ya Megatrade...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA

Pichani kati msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akiwa na madansa wake wakilishambulia jukwaa kwa namna ya kipekee usiku huu kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga.Wasanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Ney Wa Mitego (pichani kulia) na Stamina wakilishambulia jukwaa kwa wimbo wao wa Huko Kwenu vipi,huku makele ya shangwe yakiwa yametawala kila kona ya uwanja mdogo wa Kambarage mjini Shinyanga usiku huu.Sehemu ya mashabiki wa Fiesta...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la Upendo ni kesho Tabata

TAMASHA la Upendo lililoandaliwa na mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Chesco Kilemile, ambaye ni mlemavu wa miguu linatarajiwa kufanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MLANDIZI, KIMARA NA TABATA

Shirika la Maji Safi na Majitaka Dar-es-salaam (DAWASCO), linawatangazia  wakazi wa KIMARA na TABATA; Miji ya Kibaha na Mlandizi mkoani Pwani  kuwa, Mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Juu umepata hitilafu kuanza siku ya Jumatano ya tarehe 03.12.2014 baada ya kuharibika kwa pampu moja ya kusukuma Maji (Pre-lift pump). 
Hali hii imelazimisha kupungua kwa uzalishaji Maji. 
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo na kuhakikisha Pampu hii inafanya kazi na Huduma ya  Maji itarejea katika hali ya...

 

11 years ago

Michuzi

Basi la UDA lapiga mweleka eneo la Tabata Shule usiku huu

 Moja ya mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji wa abiria ndani ya jiji la Dar es salaam (UDA),lenye nambari za Usajili T 485 CVP na lenye nambari ya idadi 168.usiku huu limepiga mweleka katika eneo la Tabata Shule,mbele ya Hoteli ya Green Light na ubavuni kabisa mwa kituo cha Polisi Tabata.Kamera ya Glogu ya Jamii ilifika eneo hilo na kukuta baadhi ya wahusika waliokuwa wakilitumia basi hilo wakihangaika kutoa baadhi ya mali zao zilizokuwemo ndani ya basi hilo ili waweze kuondoka nazo...

 

10 years ago

Michuzi

TABATA SHULE YA MSINGI YANUFAIKA NA MSAADA WA MADAWATI 100 TOKA BENKI YA KCB TANZANIA

 .Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Tabata ya jijini Dar es Salaam,Tumaini Kabuta akikabidhiwa msaada wa madawati 100 na Meneja Biashara wa Benki ya KCB Tanzania, Tawi la Mlimani City, Benjamin Mgonja(kushoto) wakati wa hafla fupi iliyofanyika shuleni hapo.Benki hiyo imetoa msaada wa matawati 1000 kwa shule kumi za jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya KCB Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja na walimu wa shule ya msingi Tabata.Wakati wa hafla ya  kukabidhiwa msaada wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani