Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama C’s, Red Lax wanogesha Tamasha la Kizimkazi 2013

MSANII nyota anayetamba na miondoko ya reggae nchini Jamaica na Ulaya, Charley Anderson ‘Red Lax’ usiku wa kuamkia jana amepagawisha umati wa wapenda burudani waliofurika kwenye msimu wa nne wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UPENDO NKONE, MIKE KALAMBAY WANOGESHA TAMASHA LA GOSPEL COLUMBUS, OHIO

Mwimbaji wa nyimbo za injili wa Columbus, Ohio Enock Mwamba(kati) akiimba moja ya nyimbo za injili huku akiwashirikisha Mike Kalambay aliyekuja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Upendo Nkone aliyekuja toka Tanzania maalum kunogesha tamasha la Gospel lililofanyika siku Jumapili May 24, 2015 na kuhitimisha tamasha hilo lililokua la siku 3 mjini humo lililoanzia siku ya Ijumaa May 22, 2015.Mike Kalambay akiimba huku akitoa neno la Mungu kwa Kifaransa kilichochanganyika na lingala huku...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA MEGATRADE WATENGENEZAJI WA KVANT WANOGESHA TAMASHA LA WAKAZI WA TABATA SHULE

Msimamizi Mkuu wa Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Albet Kingu kushoto akimkabidhi zawadi ya chupa ya Kvant 750ml Ally Yanga wakati wa tamasha lililowakutanisha wakazi wa tabata shule mwishoni mwa wiki tamasha hilo lilidhaminiwa na kampuni hiyo kwa ajili ya kutoa burudani mbalambali kwa wakazi hawoMaofisa wa Kampuni ya Kampuni ya Megatrade inayotengeneza kunywaji cha Kvant wakiburudika kwa pamoja wakati wa tamasha waliloliandaa kwa ajili ya wakazi wa tabata shule wiki iliyopita na kutoa zawadi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama G na Baba Wanjera Wanogesha Huko Switzerland!

Mwigizaji na mchekeshaji anaefanyia kazi zake huko ughaibuni, Mama G for Germany ‘Ronet’ siku ya jana aliwakonga nyoyo mashabiki wa jijini Zurich nchini Switzerland kwa kutoa burudani ya vichekesho kabla ya msanii Ommy Dimpoz ‘Baba Wanjera’ kutoka hapa bongo kupanda stejini kupiga shoo.

Mama G ni moja kati ya wakali wa sanaa ya vichekesho anaefanya vizuri huko nchi za nje. Tazama moja kati ya kazi zake HAPA

Picha: Ommy Dimpoz akiwa na Mama G for Germany

 

9 years ago

Michuzi

Ngoma Africa band na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin wanogesha hafla ya kongamano la Diaspora hoteli ya Serena jijini Dar es salaam

Ngoma Africa band yenye makazi yake nchini Ujerumani na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin walivyonogesha hafla ya Kongamano la Pili la Diaspora lililofanyika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam Agosti 15, 2015 ambapo Ngoma Africa band walituma CD yenye nyimbo kali mbili za kumuaga Rais Kikwete na Mama wa Mitindo alifanya onesho maalumu la mavazi ya Kiafrika.

 

11 years ago

GPL

VIDEO: YALIYOJIRI KATIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2013

Haya ndiyo yaliyojiri katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013 lililofanyika Julai 7, 2013 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mwaka huu tamasha hilo kubwa litafanyika Agosti 8, 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa ambapo wasanii kibao watakuwepo kukupa burudani bab kubwa!

 

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI TAMASHA LA MATUMAINI 2013, MWAKA HUU NI AGOSTI 8 TAIFA

Rais Jakaya Kikwete aliongoza Tamasha la Matumaini 2013 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Mwaka huu ni Agosti 8 ndani ya Uwanja wa Taifa kama kawa jiji la Dar litazizima kwa burudani kabambe ambazo si za…

 

9 years ago

Mwananchi

Mama Shujaa wa Chakula 2013 aula

Mshindi wa mashindano ya Mama Shujaa wa Chakula mwaka 2013, Bahati Muriga, amepewa mwaliko wa kuhudhuria mkutano mkuu wa Siku ya Chakula Duniani unaotarajiwa kufanyika Washington DC nchini Marekani, Oktoba 15 na 16.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani