Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: YALIYOJIRI KATIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2013

Haya ndiyo yaliyojiri katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013 lililofanyika Julai 7, 2013 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mwaka huu tamasha hilo kubwa litafanyika Agosti 8, 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa ambapo wasanii kibao watakuwepo kukupa burudani bab kubwa!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI TAMASHA LA MATUMAINI 2013, MWAKA HUU NI AGOSTI 8 TAIFA

Rais Jakaya Kikwete aliongoza Tamasha la Matumaini 2013 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Mwaka huu ni Agosti 8 ndani ya Uwanja wa Taifa kama kawa jiji la Dar litazizima kwa burudani kabambe ambazo si za…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 KATIKA PICHA


Find more photos like this on Global…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA

Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...

 

11 years ago

GPL

WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA

Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo. Mkutano ukiendelea.…

 

11 years ago

GPL

USIKU WA MATUMAINI; TAMASHA NAMBA MOJA TANZANIA

Mwaka 2012, Tamasha la Usiku wa Matumaini (Night of Hope), lilikuwa kubwa sana, 2013 likatisha zaidi kutokana na muundo mzima wa burudani, jumlisha na historia iliyoandikwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Staa wa Bongo Movie, Irine Uwoya Dk. Kikwete alikuwa mgeni rasmi, alizungumza na umati mkubwa uliohudhuria lakini hakuishia hapo, aliandika historia pale alipokagua wachezaji wa timu za...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014: NOMA SANAAA

Mpango mzima utakuwa ni Agosti, mwaka huu wakati Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 litakapochukua nafasi akatika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo mastaa kibao wakiwemo Ali Kiba, staa wa songi la Johnny, Yemi Alade kutoka Nigeria, Juma Nature, Madee, R.O.M.A Mkatoliki, Wanaume halisi na wengineo kibao wataporomosha burudani za kufa mtu siku hiyo. Tamasha hili si la… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani