YALIYOJIRI TAMASHA LA MATUMAINI 2013, MWAKA HUU NI AGOSTI 8 TAIFA
![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
Rais Jakaya Kikwete aliongoza Tamasha la Matumaini 2013 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar. Mwaka huu ni Agosti 8 ndani ya Uwanja wa Taifa kama kawa jiji la Dar litazizima kwa burudani kabambe ambazo si za…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL09 Jul
YALIYOJIRI NIGHT OF HOPE 2013, MWAKA HUU TUKUTANE TAIFA AGOSTI 8
Haya ndiyo yaliyojiri katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013 lililofanyika Julai 7, 2013 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mwaka huu tukutane mahali hapo Agosti 8 (Nanenane).
11 years ago
GPL12 May
VIDEO: YALIYOJIRI KATIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2013
Haya ndiyo yaliyojiri katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2013 lililofanyika Julai 7, 2013 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mwaka huu tamasha hilo kubwa litafanyika Agosti 8, 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa ambapo wasanii kibao watakuwepo kukupa burudani bab kubwa!
11 years ago
GPLTAMASHA LA MATUMAINI 2014… WABUNGE GANI KUZIPIGA MWAKA HUU?
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (kushoto) akionyeshana umwamba na staa wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper katika Tamasha la Matumaini 2013. MWAKA jana wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Halima Mdee (Mbunge wa Kawe), Ester Bulaya (Viti Maalum, Mkoa wa Mara) walizipiga na wasanii wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper na Aunt Ezekiel, swali linalowasumbua akilini mashabiki wa Tamasha la Matumaini ni wabunge gani...
11 years ago
GPLTAIFA STARS, ZIMBABWE ZAINGIZA MIL 63, LIGU KUU TANZANIA BARA KUANZA AGOSTI 24 MWAKA HUU
Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumza na vyombo vya habari. Waandishi wa habari wakisikiliza. Stori: Na Gabriel Ng'osha OFISA Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Boniface Wambura akizungumzia kuhusiana na mapato yaliyotokana na mechi kati ya Taifa Stars na Zimbabwe iliyochezwa wiki iliyopita ambapo jumla ya shilingi milioni 63 zilipatikana baada ya mashabiki...
11 years ago
Michuzi16 Jun
11 years ago
Michuzi06 Aug
BONDIA KHALID CHOKORAA AJIANDAA NA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI AGOSTI 8
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CoYQvQdPPqMJ2Hk-EXrcBIcLfelzB0l2M5os19*jFQZ09Yc2SYotlaABMkUhHlTt4gLBaVAX0OBugxuBMs8OFgT/Tamashalamatumaini.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 MASHALI, MAUGO KUMALIZA UBISHI AGOSTI
Mabondia Mada Maugo na Thomas Mashali ‘Simba Asiyefugika’, wakitunishiana misuli. Na Nassor Gallu SIKU zinazidi kukatika huku maandalizi yakipamba moto kuelekea katika tamasha babkubwa linalojulikana kama Usiku wa Matumaini 2014 (Night of Hope) linalotarajiwa kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar, Agosti 8, mwaka huu. Katika tamasha… ...
11 years ago
Michuzi16 Jun
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINDANO LA TMT KUFANYIKA AGOSTI 22 MWAKA HUU
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania