KAMPUNI YA SKYLINK WATANGAZA YASHINDI WANNE WA SHINDANO LA KUNUNUA TIKETI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Es9xfJZQW5M/Vff7CZYTRgI/AAAAAAABVLs/mI7EH55msfI/s72-c/DSC_0015.jpg)
Bw. Moustafa H. Khataw kutoka kampuni ya Skylink akiwakaribisha waandishi wa habari pamoja na wageni waliofika katika droo ya kuwapata washindi wanne leo kwa wateja wote wa Skylink ambao hununua tiketi za usafiri wa ndege kwenda katika nchi mbalimbali duniani.
Ofisa wa Skylink Solomon Mwale akiwatangaza washindi waliopatikana kwenye droo iliyofanywa na kampuni ya Skylink leo.
Mfanyakazi wa kampuni ya Skylink wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Hyundai ambao walikuwa ni wadhamini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Es9xfJZQW5M/Vff7CZYTRgI/AAAAAAABVLs/mI7EH55msfI/s72-c/DSC_0015.jpg)
KAMPUNI YA UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS YATANGAZA WASHINDI WA DROO YAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Es9xfJZQW5M/Vff7CZYTRgI/AAAAAAABVLs/mI7EH55msfI/s640/DSC_0015.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x0mXKFBae00/Vff7CqYTlCI/AAAAAAABVL0/YHhSnzkrJPk/s640/DSC_0022.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f6nEj1V3CmM/Vff7DpReWSI/AAAAAAABVMM/ioflQWTd0EY/s640/DSC_0044.jpeg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Kampuni ya Mkulima kununua mpunga Songea
WAKATI Serikali inahangaika kutafuta masoko ya kuuzia mazao ya wakulima, kampuni ya kizalendo ya Mkulima Malt Purpose yenye makao yake makuu jijini Mbeya imejitosa kuanza kununua mpunga. Kampuni hiyo ambayo...
11 years ago
MichuziWateja wa Airtel kununua Tiketi za Ndege za Precicsion Air kupitia huduma ya Airtel Money
11 years ago
GPLWATEJA WA AIRTEL KUNUNUA TIKETI NA NDEGE ZA PRECISION AIR KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Hata kampuni inaweza kununua hisa zake
10 years ago
Habarileo08 Sep
Wananchi waunga mkono kampuni kununua kahawa
WANANCHI wa Wilaya wa Ngara, mkoani Kagera wameiomba Serikali kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Kampuni ya Arab Globe International wilayani humo, kununua na kusindika kahawa ya unga kwani imekuwa msaada mkubwa kwao.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gtauucLz9Ks/VKJWWj29IdI/AAAAAAAG6jk/0hkbgehM7NA/s72-c/images.jpg)
UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gtauucLz9Ks/VKJWWj29IdI/AAAAAAAG6jk/0hkbgehM7NA/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubKatika adhima ya ya mwendelezo wa makala za namna ya kuendesha kampuni leo tena tuangalie kuhusu hisa na hasa namna ya kuhamisha hisa.
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ej0P31VEbKk/default.jpg)
10 years ago
Michuzi29 Dec
MAKALA SHERIA: UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...