Kampuni zashindania ruzuku ya REA
KAMPUNI binafsi 55 za kuzalisha umeme nje ya Gredi ya Taifa zinashindana kupata nafasi 20 ya ruzuku kwa Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kuweza kuzalisha umeme na kusambaza kwa taasisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Dec
DC Masasi apongeza REA
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Farida Mgomi, amepongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa programu yao ya mafunzo inayoendelea wilayani humo, itakayosaidia kukabiliana na uharibifu wa mazingira ya bahari.
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
REA: Upatikanaji wa umeme kuongezeka
Na Mwandishi Wetu
KIWANGO cha upatikanaji wa nishati ya umeme kinatarajiwa kupanda hadi asilimia 100 ifikapo mwaka 2030, umesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Meneja Utaalamu Elekezi wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, alisema hayo alipomwakilisha Mkurugenzi wa REA katika ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wataalamu na wajasiriamali wa usambazaji vifaa vya umeme (nishati) itokanayo na mionzi ya jua.
Katika mafunzo hayo yanayomalizika leo katika Hoteli ya Kebis jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Habarileo22 May
Wasambaza umeme wa REA wapewa siku 7
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ametoa muda wa siku saba kwa makandarasi wote nchini wanaotekeleza Mradi wa kusambaza Umeme Vijijini kuhakikisha wanasimamisha nguzo walizorundika maeneo ya vijijini na bila kufanya hivyo watafutiwa vibali.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Miradi ya umeme ya REA kutolipiwa fidia
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z0yJ8g46TXw/VUdxMJ3QnQI/AAAAAAAHVPU/OaXGjkArpsU/s640/unnamed%2B(9).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s72-c/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Vijiji 8,641 vyafikiwa na umeme wa REA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rPEbsGjM9w/XmnINnzfqNI/AAAAAAAC8Sw/qFGtoFSsHdgl_1WsVIwtiFQGNDv3I60zgCLcBGAsYHQ/s400/Vijiji%2B8%252C641%2Bvyafikiwa%2Bna%2Bumeme%2Bwa%2BREA.jpeg)
Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango wakati akitoa Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa mwaka 2019/20 na Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21.
“Katika kipindi cha Julai 2015 hadi Januari 2020, jumla ya shilingi trilioni 1.53 zimetumika katika utekelezaji wa mradi huu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMvG5PIThg/VV89LNxP0mI/AAAAAAAHZOE/v2ezYwA1PUI/s72-c/unnamed.jpg)
REA YAENDELEA KUSAMBAZA UMEME VIJIJI VILIVYOBAKI
WAKALA wa nishati vijijini (REA) inaendelea kusambaza umeme katika vijiji vilivyobaki kwa awamu, kupitia mradi kabambe wa umeme vijijini ambao umelenga kuweka umeme maeneo ambayo yalikuwa mbali na huduma hiyo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA), Edmund Mkwawa wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Mkwawa amesema kuwa mradi huo umeweza kutoa mafunzo na kuwajenga wajasiliamali...
10 years ago
MichuziMwijage afanya kikao na wakandarasi wa miradi ya REA
5 years ago
MichuziWANANCHI SINGIDA WATAKIWA KUCHANGAMKIA UMEME WA REA.
Mashimo ya nguzo yakichimbwa.
Upitiaji wa nyaraka za mradi huo ukifanyika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LszCflKckDY/XvMgyAyL0qI/AAAAAAAAlRk/e2_5Uswy9J4368p9tgYFeAamY1aHhNfbQCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kushoto) akipitia nyaraka baada ya kukagua mradi wa usambazaji umeme REA II unaoendelea katika wilaya za Iramba, Mkalama, Ikungi na Singida DC. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa REA, Mhandisi Elineema Mkumbo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-HLlDBPARZ2A/XvMgyOIBKMI/AAAAAAAAlRg/fmF0bW1IHAMBEB8vNM4g_kuKkGExT2ynACLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Mhandisi Julius Saady kutoka Kampuni ya Kateth Desco Dynamic Engineering Project Cordinator inayotekeleza mradi huo, akizungumzia hatua...
10 years ago
TheCitizen01 Feb
Double fuel levy for Rea, House told