Kapteni Komba afariki, aacha mjane na watoto 11
Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa Kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT) Kepteni John Komba amefariki dunia leo alipokuwa akipelekwa katika hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam baada ya kuzidiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAPTENI JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Kapteni John Komba afariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ
Kutoka chumba cha habari cha modewjiblog , aliyekuwa Mkurugenzi wa TOT na Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi, mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba (pichani) amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ Mikocheni jijini Dar alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mtoto wake Jerry Komba amesema chanzo cha kifo chake ni Kushuka kwa Sukari akiwa nyumbani kwake Mbezi, na kumpeleka Hospitali ambako mauti yalimkuta.
Chanzo cha habari chetu kinasema taratibu za kuhamisha mwili wa marehemu...
10 years ago
Habarileo01 Mar
Buriani Kapteni John Komba
NI huzuni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jimbo la Mbinga Magharibi, Taifa, marafiki na familia, baada ya kufikwa na msiba mkubwa wa kiongozi, Mbunge, Kapteni wa Jeshi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na msanii mashuhuri wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba.
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBYXuQS0FL5UF6wjxCUhu1U4qR9co3I9uPQWDNggTNFn4XYFplphhUWqwKPas-Y4Wk-PFb-SVQr1r9461vVD3mpi/FRONTRISASI.jpg?width=650)
KAPTENI JOHN KOMBA KIMYA MILELE
10 years ago
Dewji Blog01 Mar
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT1ePQsfa9AOokVE6RIW8oxFgc*7KyWSQJstmtSfJD-qgiJyCgz83-xe8mTLl34zGqpA5MWQWGNYVtMK4y*tvtqP/1.png?width=650)
KAPTENI KOMBA AFUNGUKIA NYUMBA YAKE KUPIGWA MNADA
10 years ago
GPLYALIYOJIRI JIONI YA LEO MSIBANI KWA KAPTENI KOMBA