Kasi hii ya ujangili nchini idhibitiwe
Jana katika gazeti hili tulichapisha habari iliyokuwa ikielezea kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari zilizopo kando kado ya hifadhi na mapori ya akiba Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wameacha masomo na kushiriki ujangili wa wanyamapori kwa ajili ya kujipatia kipato.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Vita dhidi ya ujangili yashika kasi
NA WILLIAM SHECHAMBO
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili nchini, zimechukua sura mpya baada ya kukabidhiwa helkopta na Taasisi ya Howard Buffet Foundation ya Marekani, kwa ajili ya shughuli hiyo.
Helikopta hiyo ni moja kati ya ahadi alizowahi kuzitoa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa serikali, kama jitihada zinazofanywa na wizara yake kwa kushirikiana na wadau katika kuhifadhi wanyamapori na maliasili.
Makabidhiano ya helikopta hiyo yalifanyika...
9 years ago
Vijimambo31 Aug
MAGUFULI AENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KASI NA WATANZANIA,HII NI SONGEA MJINI HII LEO
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11960263_972506789478059_1974947241979169183_n.jpg?oh=7cd91f4c206c27009d93771381a548a4&oe=566F22A4&__gda__=1451023149_ad69178a24c81be02ce61c45994a7e9d)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1CWLyIsg6qU/VHgtHLF1XQI/AAAAAAACvf8/DUbDCYoMoiU/s72-c/001.jpg)
WWF KUPAMBANA NA UJANGILI NCHINI
Akikabidhi vifaa hivyo Novemba 27, 2014 jijini Dar es Salaam kwa Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa...
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Nyalandu: Ujangili nchini hali mbaya
WAKATI juhudi zikifanyika kupambana na ujangili nchini, Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu amesema hali ni mbaya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...
11 years ago
Mwananchi14 May
Mantra kushiriki vita ya ujangili nchini
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Alichosema waziri wa Uingereza kuhusu ujangili nchini
10 years ago
Dewji Blog28 Nov
WWF watoa mabango ya kukabili ujangili nchini
Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wa jijini Dar es salaam, Bw. Moses Malaki (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati wa hafla ya kukabidhiwa mabango yanayotahadharisha wananchi na wageni waingiao na watokao Tanzania kutojihusisha na shughuli yoyote inayohusiana na ujangili wa wanyama (kushoto), Mkurugenzi wa WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Ujangili nchini umetuvua nguo mbele ya dunia