KASSIM MGANGA_FT_CHRISTIAN BELLA - SUBIRA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lhZimMpNg9k/VOWmb5q2tsI/AAAAAAAACuU/MyLtYOrKB4g/s72-c/kass.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Mar
9 years ago
Bongo527 Nov
Video: Kassim Mganga Feat. Christian Bella – Subira
![Cassim Mganga - Subira](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Cassim-Mganga-Subira-300x194.jpg)
Video ambayo ilikuwa ikisubiliwa kwa mda sana na mashabiki ya wimbo wa “Subira” kutoka kwa msanii Kassim Mganga amemshirikisha Christian Bella. Video imeongozwa na Adam Juma, video imefanyika mkoani Tanga angalia hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/B4kAzd0jsyA/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Breaking News: Waziri Mkuu mteule ni Kassim Majaliwa Kassim!
Kassim Majaliwa
Tayari dakika chache zilizopita kutoka ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Dk, John Pombe Magufuli ametuma jina la Waziri Mkuu, ambaye ni Kassim Majaliwa aliyekuwa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).
Jina hilo limefikishwa kwa mbwembwe likiwa ndani ya bahasha tatu huku likiwa limeandikwa kwa mkono. Kwa hatua hiyo sasa Bunge limeenda mapumziko na dakika chache kutoka sasa litarejea kwa ajili ya kupigia kura na wabunge...
9 years ago
Bongo515 Dec
Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’
![12301240_431794427022691_698500110_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301240_431794427022691_698500110_n-300x194.jpg)
Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.
Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.
“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.
“Itakuwa inasaidia vijana wenye...
11 years ago
Michuzi10 Jul
10 years ago
Habarileo28 Nov
Pinda ataka subira
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema suala la kumtaka ajiuzulu wadhifa wake si jipya, lakini akasema ni vyema kusubiri mjadala wa Bunge wa sakata la Tegeta Escrow ufike mwisho, ndipo hatua stahiki zitajulikana.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
CUF ya subira na uzembe
Na Rashid Abdallah Miezi mitatu nyuma, asubuhi ya saa tano nilikuwa nimepanga foleni kusubiri kitambulisho , sasa ikaonekana mstari wetu hausogii hata kidogo, mmoja wa wenzetu akauliza; vipi mbona hatusogei?, Mwengine akamjibu kuwa “vuta subira tutafika […]
The post CUF ya subira na uzembe appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo28 Jan
Waislamu watakiwa kuwa na subira
WAISLAMU wametakiwa kuwa na subira wakati viongozi waliopewa dhamana ya kulifuatilia suala la Mahakama ya Kadhi wakifuatilia majibu.