Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba iwawezeshe wabunge kuhoji deni la taifa

Wakati deni la taifa likifikia Sh30.6 trilioni, Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 imechangia kwa kiasi fulani kwa kutolipa Bunge letu meno ya kuhoji na kuisimamia Serikali katika ukopaji huo

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wabunge: Kitengo cha deni la Taifa kinahitaji wataalamu

Wabunge wameitaka Serikali kutofanya haraka kuanzisha kitengo cha deni la Taifa hadi hapo kutakapokuwa na wataalamu wenye weledi wa kutosha.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wabunge wa Bunge la Katiba washauriwa kuweka maslahi ya taifa mbele

E83A1331E83A1331

Kaimu Mwalimu mkuu wa pili kitengo cha walemavu katika shule ya msingi mchanganyiko Ikungi, Donard Adamu Bilali, akizungumza na wanachama wa Singida Press Club, waliotembelea shule hiyo.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Ikungi

KAIMU Mwalimu Mkuu kitengo cha walemavu shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali amewashauri wajumbe wa Bunge la katiba kuimarisha umoja baina yao ili waweze kutengeneza katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 50...

 

11 years ago

Mwananchi

Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa

Bunge liliambiwa juzi kwamba Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh8.2 trilioni kwa kipindi cha miezi saba tu.

 

10 years ago

Mwananchi

Deni la MSD lawakera wabunge

>Wabunge wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii na wa Kambi ya Upinzani Bungeni, wameitaka Serikali kulipa deni la Sh125 bilioni ambalo Bohari Kuu ya Dawa (MSD) inadaiwa na pia kuilipa Hospitali ya Apollo ya nchini India.

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Mwanasheria Mkuu amewasilisha Mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea

Na Mwene Said wa Blog ya Jamii
NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, leo amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya  Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na  Mwandishi wa Habari Said Kubenea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kwamba maombi hayo ni batili kisheria na hayawezi kuthibitishwa mahakamani, hivyo yatupiliwe mbali.
Masaju amewasilisha pingamizi hilo akitoa sababu nne, akiitaka mahakama kutupilia mbali maombi yaliyopo...

 

11 years ago

Mwananchi

Deni la taifa lazidi kupaa

Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD), umebaini ongezeko la madeni ya ndani, ambayo sasa yamefikia Sh6.8 trilioni na kusababisha athari kubwa kwa jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

Nini hatima ya deni la Taifa?

Taarifa iliyotolewa hivi karibuni inayoonyesha kuwa deni la Taifa linakua kwa wastani wa Sh2 trilioni kila mwaka, imepokewa tofauti, huku wengi wakilalamikia hali hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba ahofia deni la taifa

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuna uwezekano mkubwa wa Rais Jakaya Kikwete baada ya kustaafu kuacha nchi kwenye matatizo makubwa ya uchumi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mdee alia na deni la taifa

MWENYEKITI wa Baraza la Wanawake CHADEMA, (BAWACHA), Halima Mdee, amesema kuwa katika kipindi cha miaka tisa ya utawala wa Rais Jakaya Kikwete, deni la Taifa limeongozeka kutoka sh trilioni saba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani