Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge: Kitengo cha deni la Taifa kinahitaji wataalamu

Wabunge wameitaka Serikali kutofanya haraka kuanzisha kitengo cha deni la Taifa hadi hapo kutakapokuwa na wataalamu wenye weledi wa kutosha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Katiba iwawezeshe wabunge kuhoji deni la taifa

Wakati deni la taifa likifikia Sh30.6 trilioni, Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 imechangia kwa kiasi fulani kwa kutolipa Bunge letu meno ya kuhoji na kuisimamia Serikali katika ukopaji huo

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha

Mtaalam wa Kutoa Damu wa Kitengo cha Damu Salama, Kanda ya Mashariki, Daudi Mkawa akimtoa damu Mfanyakazi wa Airtel Tanzania, Amitin Mbamba wakati wa zoezi la kuchangia damu lililofanywa na wafanyakazi wa vitengo mbalimbali vya Airtel, jijini Dar es Salaam jana. Kitengo cha Damu Salama kina upungufu mkubwa wa damu ambapo kiasi cha ujazo wa unit 350,000 zinahitajika kwa ajili ya dharura za kitabibu kila mwaka.Wafanyakazi wa Airtel Tanzania (kutoka kushoto), Adam Suleiman na Frank Munale...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakala wa Chuo cha Taifa cha Utalii chemchem ya wataalamu

WAKALA wa Chuo Cha Taifa cha Utalii ni mahali muhimu kwa kijana wa Kitanzania, kwani anapohitimu masomo yake anakuwa na uhakika wa kupata ajira. Hali hii inatokana na ukweli kuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Chuo cha Taifa cha Utalii chemchem ya wataalamu

WAKALA wa Chuo Cha Taifa cha Utalii ni mahali muhimu kwa kijana wa Kitanzania, kwani anapohitimu masomo yake anakuwa na uhakika wa kupata ajira. Hali hii inatokana na ukweli kuwa...

 

9 years ago

Michuzi

Mazishi ya kiongozi wa kikosi cha wataalamu wa China katika mpango wa ushirikiano wa ujenzi wa uwanja wa taifa na uwanja wa Uhuru

 Mke wa marehemu Eng. QI XIN wa pili kutoka kulia akitoa heshima zake za mwisho katika mazishi ya mume wake ambaye alikuwa Kiongozi wa Kikosi cha Wataalam wa kichina katika mpango wa Ushirikiano katika ujenzi wa Uwanja wa Taifa na Uwanja wa Uhuru akiuaga mwili wa mpendwa wake katika mazishi yaliyofanyika jijini Dar es Salaam   Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga wa kwanza kushoto akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu Eng. QI XIN ambaye...

 

11 years ago

Mwananchi

Deni la Taifa sasa ni janga la Taifa

Bunge liliambiwa juzi kwamba Deni la Taifa limeongezeka kwa Sh8.2 trilioni kwa kipindi cha miezi saba tu.

 

10 years ago

Mwananchi

Deni la MSD lawakera wabunge

>Wabunge wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii na wa Kambi ya Upinzani Bungeni, wameitaka Serikali kulipa deni la Sh125 bilioni ambalo Bohari Kuu ya Dawa (MSD) inadaiwa na pia kuilipa Hospitali ya Apollo ya nchini India.

 

10 years ago

Michuzi

RSA wakisaidia kitengo cha mawasiliano cha usalama barabarani

MABALOZI wa Usalama Barabarani nchini Tanzania (Road Safety Ambasadors-RSA) wamekabidhi misaada kwenye Ofisi ya Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini (Traffic Control Center-TCC). 
 Vifaa hivyo ambavyo ni vitendea kazi katika kituo cha taarifa cha Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini, vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa RSA, John Seka ikiwa ni michango ya mabalozi...

 

10 years ago

Michuzi

KITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Dkt Issa Haji Zidi akizungumza na vijana katika mjadala kuhusu uzazi wa mpango katika uislamu ulioandaliwa na Kitengo cha Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto kwenye ukubi wa Chuo cha Mafunzo Kilimani Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Mkufunzi kutoka Chuo cha Sayansi ya Afya ya Mbweni Asha Ali Khamis akionyesha moja ya dawa za kisasa za uzazi wa mpango katika mjadala huo. Mmoja wa washiriki wa mjadala kuhusu uzazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani