Katiba Simba yadunda
SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeurejeshea uongozi wa Simba katiba yao huku ikiwataka kufanyia kazi baadhi ya mapungufu yaliyomo kabla haijapitishwa. Simba ilipitisha mabadiliko ya katiba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
Katiba ya Simba yakataliwa
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Katiba Simba kaa la moto
11 years ago
GPLSIMBA YAPITISHA MAREKEBISHO YA KATIBA MPYA
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Uchaguzi Simba Mei, Katiba leo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sp4hxVmS-_U/U2Dk-5gnefI/AAAAAAAFeIg/T-Bi1YXxi0U/s72-c/unnamed+(5).jpg)
UPITIAJI RASIMU YA KATIBA YA CLUB YA SIMBA WAMALIZIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sp4hxVmS-_U/U2Dk-5gnefI/AAAAAAAFeIg/T-Bi1YXxi0U/s1600/unnamed+(5).jpg)
Na: Genofeva Matemu
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imemaliza kupitia Rasimu ya Katiba ya Club ya Simba kwa ajili ya kuidhinisha katiba hiyo na kuifanya Club ya Simba kuendelea na taratibu za...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Uchaguzi Simba wasubiri hatima ya katiba yao
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Simba Chawene awataka Watanzania kuachwa kuingia barabarani kufanya maandamano ya kupinga mchakato wa Katiba
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Simba Chawene akichangia mada bungeni mjini Dodoma. (Picha na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma).
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. George Simba Chawene amesikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya Wajumbe walioko nje ya bunge hilo kuhusiana na uhalali wa bunge hilo lililoko Kisheria.
Kauli hiyo ameitoa leo wakati akichangia mada katika mjadala ndani ya bunge hilo huku akisisitiza kuwa huo ni upotoshwaji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XRwO0bLTjyo/VBbQTAh9YBI/AAAAAAAGjvE/l2p0aEdx5OA/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Simba Chawene awataka Watanzania kuacha kuingia barabarani kufanya maandamano ya kupinga mchakato wa Katiba
![](http://3.bp.blogspot.com/-XRwO0bLTjyo/VBbQTAh9YBI/AAAAAAAGjvE/l2p0aEdx5OA/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. George Simba Chawene amesikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya Wajumbe walioko nje ya bunge hilo kuhusiana na uhalali wa bunge hilo linaloendelea Kisheria.
Kauli hiyo ameitoa leo wakati akichangia mada katika mjadala ndani ya bunge hilo huku akisisitiza kuwa huo ni upotoshwaji mkubwa na watu hao wanapaswa kuangaliwa kuhusu uzalendo wao.
Mhe. Chawene ameeleza kuwa inasikitisha zaidi hasa pale shutuma...