Katiba ya Simba yakataliwa
Katiba ya Simba imekwama kupita kwa Msajili wa Vyama vya Michezo baada ya kuwa na upungufu kidogo wa kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper05 Sep
Serikali ya Tanganyika yakataliwa
Na Peter Orwa, Dodoma
SERIKALI ya Tanganyika imeendelea kupingwa, ambapo wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalumu la Katiba, wamesema haiwezi kuwa na tija kwa Watanzania.
Kamati nyingi zilizoundwa kwa ajili ya kuchambua Rasimu ya Katiba na ambazo zinawasilisha maoni yake bungeni, zimepinga kuwepo kwa Serikali ya Tanganyika.
Mapendekezo ya kuwepo kwa serikali ya Tanganyika, yamo kwenye Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
UHURU imebaini kuwa tangu...
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Rufaa ya Blatter na Platini yakataliwa
Maombi ya rais wa FIFA Sepp Blatter na makamu wa rais wa shirikisho hilo Michel Platini ya kupinga kusimamishwa kazi kwa siku 90 waliowekewa na kamati ya Fifa yamekataliwa.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Misaada ya Lwakatare yakataliwa Bukoba
Baadhi ya wakuu wa vituo vya afya na zahanati katika Manispaa ya Bukoba, wamegoma kupokea misaada kwa ajili ya wajawazito uliotolewa na Mbunge wa Bukoba Mjini (Chadema), Wilfred Lwakatare kwa madai ya kupewa maelekezo na Serikali.
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Dhamana ya mshukiwa wa pembe yakataliwa
Mahakama imetupilia mbali ombi la kuachiliwa kwa dhamana Feisal Mohammed Ali anayeshukiwa kuwa mlanguzi mkubwa wa pembe za ndovu.
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Katiba Simba yadunda
SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeurejeshea uongozi wa Simba katiba yao huku ikiwataka kufanyia kazi baadhi ya mapungufu yaliyomo kabla haijapitishwa. Simba ilipitisha mabadiliko ya katiba...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Katiba Simba kaa la moto
>Wakati mkutano wa mabadiliko ya Katiba ya Simba umepangwa kufanyika Machi 16 suala kubwa linalowapasua vichwa wanachama ni kipengele cha kutaka mtu aliyefungwa asiruhusiwe kugombea nyadhifa ndani ya klabu hiyo.
11 years ago
GPLSIMBA YAPITISHA MAREKEBISHO YA KATIBA MPYA
Viongozi wa Kamati ya Utendaji ya Simba wakiwa kwenye mkutano wa marekebisho ya katiba. Mwenyekiti wa Simba SC, Ismail Aden Rage, akihutubia.…
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Uchaguzi Simba Mei, Katiba leo
Wakati mkutano mkuu wa marekebisho ya katiba ya Simba unafanyika leo kwenye Uukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oyster Bay,Uongozi wa klabu hiyo umetangaza tarehe ya uchaguzi kuwa Mei 4, 2014.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Ofisa Habari wa Simba, Asha
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sp4hxVmS-_U/U2Dk-5gnefI/AAAAAAAFeIg/T-Bi1YXxi0U/s72-c/unnamed+(5).jpg)
UPITIAJI RASIMU YA KATIBA YA CLUB YA SIMBA WAMALIZIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sp4hxVmS-_U/U2Dk-5gnefI/AAAAAAAFeIg/T-Bi1YXxi0U/s1600/unnamed+(5).jpg)
Na: Genofeva Matemu
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imemaliza kupitia Rasimu ya Katiba ya Club ya Simba kwa ajili ya kuidhinisha katiba hiyo na kuifanya Club ya Simba kuendelea na taratibu za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania