Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu CCM jela kwa udanganyifu

KATIBU wa Itikadi Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kyerwa, Ferdinand Bishanga (38), amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia mali kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Aliyejifanya Katibu wa CCM Ilala jela miaka 9

MFANYABIASHARA, Leonard Mhilu (42) amehukumiwa kifungo cha miaka tisa jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi na kujipatia Sh milioni 12.9 kwa udanganyifu, baada ya kujifanya ni Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Ilala.

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA DR.SLAA AHAMIA CCM,MWIGULU AMVUNA KWA MANUFAA YA CCM NA TANZANIA

Mh:Mwigulu Nchemba akiwaisli viwanja vya
Mkutano Karatu Mjini.Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa karatu Mjini mapema hii leo asubuhi majira ya saa tatu wakati akisisitiza kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa Kufanyika tar.14.12.2014.Mwigulu akimtambulisha Mwanachama mpya wa CCM ambaye alikuwa katibu wa CHADEMA Wilaya ya karatu ndugu.Raulenti Bonta.Kadi na baadhi za Vifaa vya CHADEMA ambavyo vimerudishwa hii leo kwa mwigulu Nchemba...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM AKABIDHI PIKIPIKI 9 NA BAISKELI 86 KWA KATA NA MATAWI YA CCM WILAYA YA KIBAHA VIJIJINI,PIA AKABIDHI KADI KWA WANACHAMA WAPYA ZAIDI YA 100

 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi,Ndg. Abdulrahman Kinana (wa pili kulia) akikabidhi funguo ya Pikipiki kwa mmoja wa Makatibu Kata katika Wilaya ya Kibaha Vijijini,wakati wa shunguli ya kukabidhi Pikipiki 13 kwa Makatibu Kata na Baiskeli 86 kwa Wenyeviti wa Matawi ya CCM yaliopo kwenye Wilaya hiyo,Vifaa hivyo vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini,Mh. Hamoud Abuu Jumaa (kulia).  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi,Ndg. Abdulrahman Kinana akikabidhi sehemu ya Baiskeli 86 kwa...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE JIMBONI KWA NGELEJA LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI

   Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifafanua jambo alipokuwa akihutubia umati wa watu waliofurika kumsikiliza  katika uwanja wa CCM Wilaya ya Sengerema ambapo aliwaambia wakazi hao Chama Cha Mapinduzi kitasimamia haki na misingi kwani ndio chama pekee kinachojali watu.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wapo kwenye ziara ya Kukagua na kuimarisha uhai wa chama,Kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao ashutumiwa kwa udanganyifu

Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao ameshutumiwa kwa udanganyifu wa kuumia bega kabla ya pambano na Floyd Mayweather

 

10 years ago

Mtanzania

Pacquiao kuadhibiwa kwa udanganyifu

LAS VEGAS, MAREKANI

BONDIA Manny Pacquiao anaweza kufungiwa au kupigwa faini na viongozi wa Kamisheni ya Ngumi Nevada kwa kushindwa kuweka wazi majeraha ya bega kabla ya pambano lake dhidi ya Floyd Mayweather Jr.

Alfajiri ya Jumapili Mfilipino huyo alipigwa na Mayweather kwa pointi kwenye pambano la karne lililofanyika Las Vegas, lakini baadaye Pacquiao alisingizia alipata maumivu ya bega mazoezini yaliyomfanya kushindwa kutumia vema mkono wake wa kushoto.

Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Tabora ‘wamkaanga’ Kapuya, DC kwa Katibu Mkuu CCM

Kundi la wanachama wa CCM wilayani hapa limemshtaki Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuwa amekuwa kinara wa kuweka makundi yanayopigana vita wilayani hapa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwekahazina, Mkurugenzi kizimbani kwa udanganyifu

MWEKAHAZINA wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, James Jiorojik na Mkurugenzi wa kampuni ya uwakala wa kukusanya ushuru ya (DIEMM) Boniface Magessa wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini...

 

11 years ago

GPL

TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA

Mgana Izumbe Msindai – Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa akitoa tamko hilo kwenye makao makuu ya Chama Chama Mapinduzi Ofisi ndogo Lumumba jijini Dar es salaam leo,kulia ni Haji Juma Haji – Makamu Mwenyekiti Wa Wenyeviti Mikoa na kushoto ni Lucas Ole Mukusi – Katibu wa Wenyeviti Mikoa. ................................................................................................................ Sisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani