Katibu Mkuu Kiongozi akutana na Balozi wa Finland Ikulu
Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Finland nchini Mhe Sinikka Antilla alipokutana naye Ikulu Dar es salaam jana Mei 27, 2014.
Balozi Antila ndiye Mwenyekiti wa Kundi la Nchi 12 Washirika wa Maendeleo zinazosaidia bajeti ya Tanzania (General Budget Support Group), na amechukua nafasi hiyo tangu mwezi April mwaka huu.
Lengo la Balozi Antila kuonana na Katibu Mkuu Kiongozi ni kujitambulisha kwa wadhifa huo mpya na kueleza jinsi atavyotekeleza jukumu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LcpKiN2p_uo/VK7nrO5ErnI/AAAAAAAG8G8/IJRcdcU58TQ/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue akutana na Mabalozi ikulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-LcpKiN2p_uo/VK7nrO5ErnI/AAAAAAAG8G8/IJRcdcU58TQ/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gWHSsGyTGQo/VK7nrKFrjQI/AAAAAAAG8HA/D9njmwNWtrc/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Glod6D4uzys/VK7nrKMiL4I/AAAAAAAG8HE/ruk1Vmvbkqc/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 May
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akutana na Rais wa Africare
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Rais wa Taasisi ya Africare, Dkt Darius Mans, alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam jana Mei 27, 2014.
Kulia ni Mama Sekai P. Chikowero, Mkurugenzi Mwandamizi wa nchi za Tanzania, Rwanda na Uganda wa Africare ambayo ni taasisi kubwa ya maendelo kwa Afrika inayoendeshwa na Wamarekani wenye asili ya watu weusi. Bw. Mans yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku nne.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akimlaki Rais...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_06Xmt4MjcY/U4Rp55wzWQI/AAAAAAAFldc/mnijGZS87x4/s72-c/unnamed+(41).jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AKUTANA NA RAIS WA AFRICARE LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_06Xmt4MjcY/U4Rp55wzWQI/AAAAAAAFldc/mnijGZS87x4/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ezSYBLmDL0c/U4Rp21jTiZI/AAAAAAAFldU/mVteph3buZY/s1600/unnamed+(40).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu amuaga rasmi Balozi wa Finland aliyemaliza muda wa kazi nchini
9 years ago
MichuziRIDHIWANI KIKWETE ATETA NA KATIBU MKUU KIONGOZI,OMBENI SEFUE IKULU
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU BALOZI KANALI IBUGE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA VIETNAM
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki BaloziCol. Wilbert A. Ibuge katikati akimkaribisha Balozi wa Vietnam chini Mhe.Nguyen Kim Doanh katika ofisi za Wizara Jijini Dodoma alipofika kuitikia wito wa Katibu Mkuu kulia ni KaimuMkurugenzi anayeshughulikianchi za Asia na AustralasiaBw. Ceasar Waitara.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki BaloziCol. Wilbert A. Ibuge (kulia) akizungumza na Balozi wa Vietnam chini Mhe.Nguyen Kim Doanh...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kvaB8NyngNM/UwtSapZhYfI/AAAAAAAFPQo/aFes58qOeUg/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Viongozi wapya wa Ikulu SACCOS Wakabidhi Ripoty ya Utendaji kwa Katibu mkuu kiongozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-kvaB8NyngNM/UwtSapZhYfI/AAAAAAAFPQo/aFes58qOeUg/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMigncMpgxU/UwtSaij3VOI/AAAAAAAFPQk/6_UCfKMK1wM/s1600/unnamed+(22).jpg)