Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue akutana na Mabalozi ikulu
![](http://2.bp.blogspot.com/-LcpKiN2p_uo/VK7nrO5ErnI/AAAAAAAG8G8/IJRcdcU58TQ/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akikutana na mabalozi wa nchi za nje na wakuu wa mashirika ya kimataifa yaliyo chini ya Umoja wa Mataifa Ikulu jijini Dar es Salaam leo
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiongea na mabalozi wa nchi za nje na wakuu wa mashirika ya kimataifa yaliyochini ya Umoja wa Mataifa ikulu jijini Dar es Salaam leo
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akisikiliza hoja za mabalozi wa nchi za nje na wakuu wa mashirika ya kimataifa yaliyochini ya Umoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 May
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akutana na Rais wa Africare
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Rais wa Taasisi ya Africare, Dkt Darius Mans, alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam jana Mei 27, 2014.
Kulia ni Mama Sekai P. Chikowero, Mkurugenzi Mwandamizi wa nchi za Tanzania, Rwanda na Uganda wa Africare ambayo ni taasisi kubwa ya maendelo kwa Afrika inayoendeshwa na Wamarekani wenye asili ya watu weusi. Bw. Mans yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku nne.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akimlaki Rais...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_06Xmt4MjcY/U4Rp55wzWQI/AAAAAAAFldc/mnijGZS87x4/s72-c/unnamed+(41).jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AKUTANA NA RAIS WA AFRICARE LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_06Xmt4MjcY/U4Rp55wzWQI/AAAAAAAFldc/mnijGZS87x4/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ezSYBLmDL0c/U4Rp21jTiZI/AAAAAAAFldU/mVteph3buZY/s1600/unnamed+(40).jpg)
11 years ago
Dewji Blog28 May
Katibu Mkuu Kiongozi akutana na Balozi wa Finland Ikulu
Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Finland nchini Mhe Sinikka Antilla alipokutana naye Ikulu Dar es salaam jana Mei 27, 2014.
Balozi Antila ndiye Mwenyekiti wa Kundi la Nchi 12 Washirika wa Maendeleo zinazosaidia bajeti ya Tanzania (General Budget Support Group), na amechukua nafasi hiyo tangu mwezi April mwaka huu.
Lengo la Balozi Antila kuonana na Katibu Mkuu Kiongozi ni kujitambulisha kwa wadhifa huo mpya na kueleza jinsi atavyotekeleza jukumu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
9 years ago
MichuziRIDHIWANI KIKWETE ATETA NA KATIBU MKUU KIONGOZI,OMBENI SEFUE IKULU
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI,BALOZI OMBENI SEFUE ATEMBELEA BANDA LA 'CAG'
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KusarCPa4WU/VlHEYP-pc6I/AAAAAAAIHy0/NPQwRoSCW9I/s72-c/mm.png)
Ratiba ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue Hospitali ya Muhimbili kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-KusarCPa4WU/VlHEYP-pc6I/AAAAAAAIHy0/NPQwRoSCW9I/s640/mm.png)
Ziara hiyo ni kwa ajili ya kukagua utekelezaji wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli aliyeagiza fedha zilizochangwa ajili ya hafla ya wabunge zitumike kununulia vitanda vya wagonjwa katika hospitali hiyo.
Gerson MsigwaKaimu Mkurugenzi wa Mawasilino, IKULU
20 Novemba, 2015
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM LEO