Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATIBU MKUU MWAKALINGA AKAGUA UTEKELEZAJI WA MKAKATI WA WIZARA KUJIKINGA NA CORONA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akihakiki utekelezaji wa mkakati wa Sekta ya Ujenzi kwa watumishi katika kutekeleza maelekezo ya Wizara ya Afya namna ya kujikinga na maambukizi ya Homa ya Mapafu (Covid – 19), jijini Dodoma.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akifafanua jambo kwa Mhasibu wa Sekta hiyo, Bw. Thomas Malima,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UJENZI AKAGUA BARABARA YA DODOMA-BABATI KM 251.4

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akikagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kolo katika Barabara ya Dodoma-Babati sehemu ya Mela-Bonga. Mwandisi Mkazi katika mradi wa Barabara ya Dodoma-Babati sehemu ya Mayamaya-Mela, Eng. Emeterio Onias wapili kutoka kulia akimpa maelekezo Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe kuhusu ujenzi wa Barabara  hiyo.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe katikati akitoa maelekezo kwa Mkandarasi anayejenga barabara ya...

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JESHI LA POLISI

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Wakwanza kushoto), akiwasili katika Majengo mapya ya nyumba za Askari Magereza pamoja na Kiwanda cha Ukonga, alipofanya Ziara ya Ukaguzi katika eneo hilo, jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Wakwanza kushoto), akikagua majengo ya Jeshi la Magereza  akiwa pamoja na baadhi ya Maafisa wa Jeshi hilo, jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU AKAGUA MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA WANAFUNZI MZUMBE


Hapa akikagua moja ya vifaa vilivyofungwa kuwezesha wanafunzi kunawa na sabuni na maji tiririka kabla ya kuingia darasani. Eneo hili ni kwenye ukumbi wa mihadhara (lecture theatre) Fanon.
Makamu Mkuu wa Chuo akifanya mjumuisho katika wa ziara ya ukaguzi iliyofanywa na Naibu Katibu Mkuu. Wanaoonekana pichani ni baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Chuo Kikuu Mzumbe na watendaji katika Kituo cha Afya.

Naibu Katibu Mkuu Dr. Evamarie Semakafu, akitoa maelekezo ya maboresho baada ya kupokea taarifa...

 

5 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu aipongeza Muhimbili kubuni vazi la wataalamu kujikinga na virusi vya Corona

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Zainab Chaula ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ubunifu wa kushona vazi (PPE) kwa ajili ya Wataalamu wa Afya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona wakati wa kutoa huma kwa wagonjwa.

Dkt. Chaula ametembelea kiwanda kidogo cha kutengeneza mavazi hayo na kuona jinsi yanavyotengenezwa na kuwashauri MNH waendelee kuzalisha mavazi mengi ili kutosheleza mahitaji ya Wataalamu wa hospitali hiyo.

“...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Regina Kikuli akiongozana na Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali  Mbazi Msuya wakati wa kufuatilia Utekelezaji wa Mradi wa kupunguza Athari za Maafa ya Ukame kijijini Masanga , wilayani Kishapu Shinyanga, tarehe 5 Julai, 2015, Mradi huo unafadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia UNICEF. Baadhi ya wanakikundi cha Mkombozi kata ya Masanga wilayani Kishapu Shinyanga, wakiwa na mbuzi waliowapata kutoka Idara ya...

 

5 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam



 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi akisalimiana na watumishi wa Wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam alipokutana nao mapema hii leo na kufanya kikao kwa lengo la kuweka mikakati ya wizara katika kipindi cha uongozi wake.Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi akifafanua jambo kwa...

 

9 years ago

Michuzi

Katibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo

Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel(kulia) akikabidhiwa kamusi kuu mpya ya Kiswahili kutoka kwa Katibu Mtendaji kutoka baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Dkt Selemani Sewangi.Kamusi hiyo mpya ina jumla ya maneno makuu Zaidi ya elfu thelathini na sita(36000) na kurasa 1264. Katibu Mtendaji kutoka baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Dkt Selemani Sewangi(kushoto) akitoa ufafanuzi kwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA BURUNDI.

Katibu Mkuu wa CCM,Kinana akiwa na viongozi wengene wakiangalia jinsi watanzania wanavyopata taabu na kunusurika kifo kwa kuvuka kwenye Mto Malagalasi wakitokea kuuza bidhaa zao na kununua mahitaji mengine katika Soko Buhinja, Kijiji cha Mrambi, Mkoa wa Makamba nchini Burundi. Wananchi hao kutoka Kijiji cha Kibande na vijiji viongine wilayani Buhigwe, Kigoma Tanzania, huenda Burundi kufanya biashara kutokana na upande wa Tanzania kutokuwepo na soko kunakosababishwa na kodi nyingi. Katibu...

 

11 years ago

GPL

KATIBU MKUU WA CCM, KINANA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA BURUNDI

Katibu Mkuu wa CCM,Kinana akiwa na viongozi wengene wakiangalia jinsi watanzania wanavyopata taabu na kunusurika kifo kwa kuvuka kwenye Mto Malagalasi wakitokea kuuza bidhaa zao na kununua mahitaji mengine katika Soko Buhinja, Kijiji cha Mrambi, Mkoa wa Makamba nchini Burundi. Wananchi hao kutoka Kijiji cha Kibande na vijiji viongine wilayani Buhigwe, Kigoma Tanzania, huenda Burundi kufanya biashara kutokana na upande wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani