Katibu Mkuu aipongeza Muhimbili kubuni vazi la wataalamu kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-8KWk9K-Cu8E/XpxA8dvkQ7I/AAAAAAALnaw/XrkcRusw9os8XTgo5Rp0XEpt_hulhenKACLcBGAsYHQ/s72-c/8ce45bd4-0d4d-4c77-bba7-0e3db2c6fc17.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Zainab Chaula ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ubunifu wa kushona vazi (PPE) kwa ajili ya Wataalamu wa Afya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona wakati wa kutoa huma kwa wagonjwa.
Dkt. Chaula ametembelea kiwanda kidogo cha kutengeneza mavazi hayo na kuona jinsi yanavyotengenezwa na kuwashauri MNH waendelee kuzalisha mavazi mengi ili kutosheleza mahitaji ya Wataalamu wa hospitali hiyo.
“...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HKg2DPxjAbw/XrFjy5ugzuI/AAAAAAAAJTA/WlVv-Y-BJMwAELzq3pcgcgjkmQMhpr2eQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200505_104928_281.jpg)
KIWANDA CHA A TO Z KIPO MBIONI KUTENGENEZA VAZI LA WATAALAMU WA AFYA LA KUJIKINGA NA MAGONJWA YA MLIPUKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HKg2DPxjAbw/XrFjy5ugzuI/AAAAAAAAJTA/WlVv-Y-BJMwAELzq3pcgcgjkmQMhpr2eQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200505_104928_281.jpg)
amanda wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akipokea barakoa 2000 kwa ajili ya Jeshi la Polisi mkoani Arusha zilizotolewa na Kampuni ya A to Z ya mkoani hapa ikiwa ni kuendeleza Juhudi za Serikali kwenye mapambano dhidi ya Ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-sXwO1GoPNbk/XrFkIFaRLqI/AAAAAAAAJTM/KqL7gsVXrwcq45ggeNF24jmYz9uK6qOVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200505_104310_587.jpg)
Viongozi wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wakifuatilia hafla ya kupokea vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 iliyofanyika kwenye Ukumbi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
DC CHONGOLO AAGIZA WATAALAMU WA AFYA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE VITUO VYA DALADALA, NYUMBA ZA IBADA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s400/DC%2BKINO.jpg)
Aidha Mhe. Chongolo ameagiza pia elimu hiyo kutolewa kwenye vituo vya daladala ili kuwasaidia wananchi kutambua namna ya kutumia na kujikinga na Virusi hivyo.
Mhe. Chongolo ametoa agizo hilo leo katika kikao cha zarura kilichofanyika katika ukumbi wa Afya ambapo kimehusisha Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3219-2048x1181.jpg)
Vodacom Tanzania yatoa elimu ya kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3219-2048x1181.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_3271-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/02-1-scaled.jpg)
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC. makao makuu Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini Dkt. Ismail Gatalya wakati akitoa elimu na mafunzo kwa wafanyakazi hao juu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Habari katika Picha: Jitihada za kujikinga na virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QtD0A6IxpKs/XpwhfyabUxI/AAAAAAALnZo/jl02yqa78HsWs-iTJyXUQicS8BMhXBieQCLcBGAsYHQ/s72-c/Lindi.jpg)
SBL yajitolea kusambaza vipeperushi kujikinga na vIrusi vya Corona
SBL tayari imeshavifikisha vipeperushi hivyo sehemu mbali mbali hapa nchini na kuvikabidhi kwa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na maafisa afya kwa ajili ya kuvigawa kwa wanachi wa maeneo husika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QtD0A6IxpKs/XpwhfyabUxI/AAAAAAALnZo/jl02yqa78HsWs-iTJyXUQicS8BMhXBieQCLcBGAsYHQ/s640/Lindi.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TPD5St3iGVo/XpYMT4kYjJI/AAAAAAALm88/iQThXCWSn2YFq_fDgGp4nF2eGyTwnnU3wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-24.jpg)
KATIBU MKUU MWAKALINGA AKAGUA UTEKELEZAJI WA MKAKATI WA WIZARA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TPD5St3iGVo/XpYMT4kYjJI/AAAAAAALm88/iQThXCWSn2YFq_fDgGp4nF2eGyTwnnU3wCLcBGAsYHQ/s640/1-24.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga, akihakiki utekelezaji wa mkakati wa Sekta ya Ujenzi kwa watumishi katika kutekeleza maelekezo ya Wizara ya Afya namna ya kujikinga na maambukizi ya Homa ya Mapafu (Covid – 19), jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-16.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wC0LO74eCQ4/Xp8MfjgLHZI/AAAAAAALnvU/zaGo8ecOuDEaEUkJ1cFRaGAPFtOtu54XQCLcBGAsYHQ/s72-c/21890c23-7dbc-426c-974a-91c2e192d46d.jpg)
BALOZI WA PAKISTAN AIPONGEZA SERIKALI YA TANZANIA KWA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA
Serikali imepongezwa kwa jitihada inazozifanya katika kukabiliana na ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona (COVID-19) hapa nchini.
Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na mwakilishi wa Ubalozi wa Pakistani hapa nchini Muhammad Saleem wakati akikabidhi vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.
Saleem alisema tangu ugonjwa huo ulipoingia hapa nchini mwezi uliopita kasi ya maambukizi ni ndogo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-arF90ame6W8/XnDrzg0q8NI/AAAAAAALkKI/mwospy_af-M0Slvl3P6M6uLLdoor-ilGQCLcBGAsYHQ/s72-c/df38f64b-bb2b-404c-959b-95b2b3f73db3.jpg)
BRELA YAPATIWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA NA HOMA YA INI
Katika mafunzo hayo Dkt. Minja amesisitiza kunawa vizuri mikono kila wakati kwa kutumia...