Habari katika Picha: Jitihada za kujikinga na virusi vya corona
Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Habari katika picha
Picha mbalimbali barani Afrika zikionyesha maisha yalivyo wakati huu wa corona.
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: Jitihada za Zanzibar kupambana na kusambaa kwa virusi vya corona
Waziri wa afya visiwani Zanzibar Hamad Rashid ameiambia BBC kwamba virusi hivi utaathiri uchumi visiwani humo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3219-2048x1181.jpg)
Vodacom Tanzania yatoa elimu ya kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xx4TI3PRens/XnKNJ596tUI/AAAAAAALkXM/UtX5m5ZwiZAj5MwNEhpXTckiaKJ3rFR2gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3219-2048x1181.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_3271-scaled.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/02-1-scaled.jpg)
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC. makao makuu Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini Dkt. Ismail Gatalya wakati akitoa elimu na mafunzo kwa wafanyakazi hao juu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QtD0A6IxpKs/XpwhfyabUxI/AAAAAAALnZo/jl02yqa78HsWs-iTJyXUQicS8BMhXBieQCLcBGAsYHQ/s72-c/Lindi.jpg)
SBL yajitolea kusambaza vipeperushi kujikinga na vIrusi vya Corona
Ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kupambana na homa ya mapafu maarufu kama Corona virus, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeshirikiana na Wizaya ya Afya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusambaza vipeperushi vyenye ujumbe wa kujikinga na virusi hivyo hatari
SBL tayari imeshavifikisha vipeperushi hivyo sehemu mbali mbali hapa nchini na kuvikabidhi kwa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na maafisa afya kwa ajili ya kuvigawa kwa wanachi wa maeneo husika.
Mwakilishi wa...
SBL tayari imeshavifikisha vipeperushi hivyo sehemu mbali mbali hapa nchini na kuvikabidhi kwa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na maafisa afya kwa ajili ya kuvigawa kwa wanachi wa maeneo husika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QtD0A6IxpKs/XpwhfyabUxI/AAAAAAALnZo/jl02yqa78HsWs-iTJyXUQicS8BMhXBieQCLcBGAsYHQ/s640/Lindi.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-arF90ame6W8/XnDrzg0q8NI/AAAAAAALkKI/mwospy_af-M0Slvl3P6M6uLLdoor-ilGQCLcBGAsYHQ/s72-c/df38f64b-bb2b-404c-959b-95b2b3f73db3.jpg)
BRELA YAPATIWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA NA HOMA YA INI
Watumishi kutoka Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamepewa mafunzo ya kujikinga dhidi ya virusi vya Corona (COVID-19) pia namna ya kuepuka ugonjwa wa homa ya Ini. Mafunzo hayo yametolewa na Madaktari bingwa wa magonjwa ya mlipuko kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. John C. Rwegasha na Dkt. Lilian Tina Minja katika ukumbi wa mikutano wa BRELA leo tarehe 17/03/2020 jijini Dar es salaam.
Katika mafunzo hayo Dkt. Minja amesisitiza kunawa vizuri mikono kila wakati kwa kutumia...
Katika mafunzo hayo Dkt. Minja amesisitiza kunawa vizuri mikono kila wakati kwa kutumia...
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI
5 years ago
BBCSwahili23 Mar
Coronavirus: Je kujitenga na watu ni kupi na kunasaidia vipi kujikinga na virusi vya corona?
Kila mtu anatakiwa kujizuia kuonana na watu kwa shughuli ambazo si za lazima. Waweza hata kufanya mazoezi ikiwa utakaa mita 2 na wengine.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8KWk9K-Cu8E/XpxA8dvkQ7I/AAAAAAALnaw/XrkcRusw9os8XTgo5Rp0XEpt_hulhenKACLcBGAsYHQ/s72-c/8ce45bd4-0d4d-4c77-bba7-0e3db2c6fc17.jpg)
Katibu Mkuu aipongeza Muhimbili kubuni vazi la wataalamu kujikinga na virusi vya Corona
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Zainab Chaula ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ubunifu wa kushona vazi (PPE) kwa ajili ya Wataalamu wa Afya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona wakati wa kutoa huma kwa wagonjwa.
Dkt. Chaula ametembelea kiwanda kidogo cha kutengeneza mavazi hayo na kuona jinsi yanavyotengenezwa na kuwashauri MNH waendelee kuzalisha mavazi mengi ili kutosheleza mahitaji ya Wataalamu wa hospitali hiyo.
“...
Dkt. Chaula ametembelea kiwanda kidogo cha kutengeneza mavazi hayo na kuona jinsi yanavyotengenezwa na kuwashauri MNH waendelee kuzalisha mavazi mengi ili kutosheleza mahitaji ya Wataalamu wa hospitali hiyo.
“...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania