Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Habari katika Picha: Jitihada za kujikinga na virusi vya corona

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali barani Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Habari katika picha

Picha mbalimbali barani Afrika zikionyesha maisha yalivyo wakati huu wa corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jitihada za Zanzibar kupambana na kusambaa kwa virusi vya corona

Waziri wa afya visiwani Zanzibar Hamad Rashid ameiambia BBC kwamba virusi hivi utaathiri uchumi visiwani humo.

 

5 years ago

Michuzi

UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA

Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Makala Mapesah akizungumzia msaada wa ndoo maalum za kusaidia kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Makala Mapesah akionyesha ndoo maalum za msaada kwa ajili ya wananchi kujitakasa na kujikinga na virusi vya Corona
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...

 

5 years ago

Michuzi

Vodacom Tanzania yatoa elimu ya kujikinga na virusi vya Corona



Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC. makao makuu Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza kwa makini  Dkt. Ismail Gatalya  wakati akitoa elimu na mafunzo kwa wafanyakazi hao juu ya namna ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

 

5 years ago

Michuzi

SBL yajitolea kusambaza vipeperushi kujikinga na vIrusi vya Corona

Ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kupambana na homa ya mapafu maarufu kama Corona virus, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeshirikiana na Wizaya ya Afya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusambaza vipeperushi vyenye ujumbe wa kujikinga na virusi hivyo hatari
SBL tayari imeshavifikisha vipeperushi hivyo sehemu mbali mbali hapa nchini na kuvikabidhi kwa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na maafisa afya kwa ajili ya kuvigawa kwa wanachi wa maeneo husika. Mwakilishi wa...

 

5 years ago

Michuzi

BRELA YAPATIWA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA NA HOMA YA INI

Watumishi kutoka Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamepewa mafunzo ya kujikinga dhidi ya virusi vya Corona (COVID-19) pia namna ya kuepuka ugonjwa wa homa ya Ini. Mafunzo hayo yametolewa na Madaktari bingwa wa magonjwa ya mlipuko kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. John C. Rwegasha na Dkt. Lilian Tina Minja katika ukumbi wa mikutano wa BRELA leo tarehe 17/03/2020 jijini Dar es salaam.

Katika mafunzo hayo Dkt. Minja amesisitiza kunawa vizuri mikono kila wakati kwa kutumia...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI

 Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akionesha namna ya kutumia vitakasa mikono kwa wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona (Covid 19) wakati wa mafunzo yaliyoandaliwa na kufanyika katika ofisi za Bodi hiyo Jijini Dar es Salaam.
Dkt. Grarvin Kweka wa Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili akitoa mada ya namna ya kujikinga na virusi vya Corona kwa  wafanyakazi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) juu ya kujikinga na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je kujitenga na watu ni kupi na kunasaidia vipi kujikinga na virusi vya corona?

Kila mtu anatakiwa kujizuia kuonana na watu kwa shughuli ambazo si za lazima. Waweza hata kufanya mazoezi ikiwa utakaa mita 2 na wengine.

 

5 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu aipongeza Muhimbili kubuni vazi la wataalamu kujikinga na virusi vya Corona

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Zainab Chaula ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ubunifu wa kushona vazi (PPE) kwa ajili ya Wataalamu wa Afya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona wakati wa kutoa huma kwa wagonjwa.

Dkt. Chaula ametembelea kiwanda kidogo cha kutengeneza mavazi hayo na kuona jinsi yanavyotengenezwa na kuwashauri MNH waendelee kuzalisha mavazi mengi ili kutosheleza mahitaji ya Wataalamu wa hospitali hiyo.

“...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani