Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ACHOMOLEWA GEREZANI

 Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleoa (CHADEMA), Dkt Vicent Mashinji, amefunguka mengi baada ya kulipiwa faini yake na Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam na kwamba ameshangazwa kuona jambo hilo lilivyomalizika kwa uharaka.
Dkt Mashinji ameyabainisha hayo leo mara baada ya kuachiwa huru, baada ya jana kushindwa kulipa faini yake na kupelekwa Gereza la Segerea na kuliomba Taifa kuendelea kuboresha zaidi Magereza.
"Niwashukuru sana ndugu zangu wa CCM, miaka miwili...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ATIMKIA CCM


  Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt.Vincent Mashinji ametangaza rasmi kuondoka CHADEMA na kuhamia CCM leo February 18, 2020 na kupokelewa na Humphrey Polepole katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
“Baada ya kutafakari mwenendo mzima wa siasa na uchumi nchini na kuangalia kina nani wako tayari nikaona kwa upande wetu Chadema bado tuko mbali sana kuchochea mambo haya ya maendeleo,”- Amesema Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent MashinjiAliyekuwa Katibu Mkuu...

 

5 years ago

CCM Blog

KATIBU MKUU WA ZAMANI IJM AAGA DUNIA

Marehemu Dakta Ramadhan ShalahMarehemu Dakta Ramadhan ShalahKatibu Mkuu wa zamani Harakati ya Jihad Islami ya Palestina (IJM) ameaga dunia hospitalini baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.Taarifa iliyotolea na harakati hiyo imesema kuwa, Ramadhan Shalah ameaga dunia akiwa hospitalini katika mji wa Gaza. Taarifa hiyo imeseama: Tumekuwa tukishuhudia mapambano ya Harakati ya Jihad Islami tangu kuanzishwa kwake, na tunakumbuka uongozi na msimamo wake wa kitaifa kwa heshima na fahari."Imeongeza kuwa Shalah alilinda...

 

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa Yanga wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ afariki dunia, kuzikwa tabora jumatano


Katibu Mkuu wa Yanga  wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ (kulia) enzi za uhai wake akiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo. Kushoto ni mmoja wa wazee maarufu wa klabu hiyo Mzee Yusuf Mzimba. Na Mahmoud Zubeiry

 Katibu Mkuu wa Yanga SC wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ amefariki dunia jana saa nne usiku katika hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya moyo.

Mtoto wa marehemu, Hilton Mpondela amemwambia mwandishi wa habari hii...

 

10 years ago

Vijimambo

Mjue DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yakeDk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.Baada ya darasa la nne, Dk Slaa alijiunga na Seminari ya Dung’unyi mkoani Singida mwaka 1966-1969 na kusoma sekondari, kisha akaendelea na masomo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''

Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.

 

10 years ago

GPL

DK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA

Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chadema,  Dk. Willbrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika kuwa na Salum Mwalim ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewateua Dk. Willbrod Slaa kuwa Katibu Mkuu, John Mnyika kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na Salum Mwalim ambaye anakuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar. Viongozi hao wameteuliwa jana...

 

10 years ago

Vijimambo

KOMBE LA RAMADHAN LILILOANDALIWA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CHADEMA ZANZIBAR

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu akifuatilia mchezo wa fainali wa Kombe la Ramadhani lililofadhiwani na yeye kwa Vijana wa Kikwajuni. kati ya Kitururu na JowsWapenzi wa mchezo wa Soka Zanzibar wakifuatilia Fainali ya Kombe la Ramadhani.Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu akimkabidhi zawadi mshindi wa Pili wa michuano hiyo timu ya Kitururu.Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu akikabidhi Mbuzi na Jezi timu Bingwa wa Kombe la Ramadhani lililofanyika...

 

10 years ago

Michuzi

Polisi waendelea na uchunguzi dhidi ya Mlinzi wa Katibu Mkuu wa CHADEMA

Na Chalila Kibuda ,Globu ya jamii
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linaendelea na uchunguzi dhidi ya Mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk.Wilbrod Slaa anayedaiwa kufanya njama ya kumuua kwa sumu, Bw. Khalid Kagezi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo,Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova amesema wamechukua maelezo kwa Katibu Mkuu Dk.Wilbrod Slaa pamoja na maelezo ya mlizi wake Khalid Kagezi.Kamishina Kova amesema...

 

10 years ago

Vijimambo

Mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar Salumu Mwalimu


Naibu Katibu Mkuu wa Chademba Zanzibar, Salumu Mwalimu akipokewa na viongozi wa chama hicho baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Zanzibar akifuatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk.Wilbrod Slaa (kulia) na viongozi wengine wa chama hicho jana.


 Mamia ya wananchi na wafuasi wa Chadema kwenye mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Salumu Mwalimu baada ya kuwasili kwenye ofisi hiyo Darajabovu mjini Zanzibar jana.

Dk.Slaa akiteta jambo na manaibu wake, John Mnyika (kushoto) na Salumu Mwalimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani