KATIBU MKUU WA ZAMANI IJM AAGA DUNIA
Marehemu Dakta Ramadhan ShalahKatibu Mkuu wa zamani Harakati ya Jihad Islami ya Palestina (IJM) ameaga dunia hospitalini baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.Taarifa iliyotolea na harakati hiyo imesema kuwa, Ramadhan Shalah ameaga dunia akiwa hospitalini katika mji wa Gaza. Taarifa hiyo imeseama: Tumekuwa tukishuhudia mapambano ya Harakati ya Jihad Islami tangu kuanzishwa kwake, na tunakumbuka uongozi na msimamo wake wa kitaifa kwa heshima na fahari."Imeongeza kuwa Shalah alilinda...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 May
Rais wa zamani wa Uturuki aaga dunia
11 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Yanga wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ afariki dunia, kuzikwa tabora jumatano
Katibu Mkuu wa Yanga wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ (kulia) enzi za uhai wake akiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo. Kushoto ni mmoja wa wazee maarufu wa klabu hiyo Mzee Yusuf Mzimba. Na Mahmoud Zubeiry Katibu Mkuu wa Yanga SC wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ amefariki dunia jana saa nne usiku katika hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya moyo. Mtoto wa marehemu, Hilton Mpondela amemwambia mwandishi wa habari hii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgbhKg*Zi3JwVeGu6b3CFIuA7wjUgP*NtI1qtPskqrLiZrXb2j2pasFNNDcmunqQtf*c5AW4bDFHAzYLo*76K5pB/KenanEvren.jpg?width=650)
RAIS WA ZAMANI WA UTURUKI, KENAN EVREN AAGA DUNIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c_gwr7gKY4o/XmjheQoHJ0I/AAAAAAAC0sk/CEluOJLZfxwrVhPFmSfuXOxij4y5gxBFACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ACHOMOLEWA GEREZANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-c_gwr7gKY4o/XmjheQoHJ0I/AAAAAAAC0sk/CEluOJLZfxwrVhPFmSfuXOxij4y5gxBFACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Dkt Mashinji ameyabainisha hayo leo mara baada ya kuachiwa huru, baada ya jana kushindwa kulipa faini yake na kupelekwa Gereza la Segerea na kuliomba Taifa kuendelea kuboresha zaidi Magereza.
"Niwashukuru sana ndugu zangu wa CCM, miaka miwili...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA ZAMANI CHADEMA ATIMKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-6KH46F5apzY/XkuvZ5eXlMI/AAAAAAACy54/m8kX26fXAvMusyT_05Rb15bv-9KsZA1KgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt.Vincent Mashinji ametangaza rasmi kuondoka CHADEMA na kuhamia CCM leo February 18, 2020 na kupokelewa na Humphrey Polepole katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
“Baada ya kutafakari mwenendo mzima wa siasa na uchumi nchini na kuangalia kina nani wako tayari nikaona kwa upande wetu Chadema bado tuko mbali sana kuchochea mambo haya ya maendeleo,”- Amesema Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent MashinjiAliyekuwa Katibu Mkuu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZ8N9Ge5IhRMJOejq4JL6jzzdDyFVNvbgcPk8t0hP7cyxktwF1Xg7GQ5v2cKUKv0pKjE7zPBBju5YrzY3CVw7ZP/AlbertReynolds.jpg)
WAZIRI MKUU WA ZAMANI IRELAND AFARIKI DUNIA
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s72-c/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
NEWZ ALERT : KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s640/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
Marehemu Khalifa amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na Matatizo ya ini.
Kwa hakika Chama kimepata pigo kubwa na kwa yakini marehemu ameacha pengo ambalo haliwezi kuzibika kirahisi.
CUF-Chama Cha Wananchi kinatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na...
9 years ago
VijimamboJK AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU NA KATIBU TAWALA