RAIS WA ZAMANI WA UTURUKI, KENAN EVREN AAGA DUNIA

Kenan Evren enzi za uhai wake. ALIYEWAHI kuwa Rais wa Uturuki, Kenan Evren ambaye aliongoza mapindunzi yaliyokumbwa na umwagikaji wa damu mwaka 1980 amefariki dunia jana kwenye hospitali moja mjini Ankara, Uturuki akiwa na umri wa miaka 97. Kenan alikuwa Rais wa Uturiki mwaka 1980 hadi 1989. Mwaka uliopita alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kufuatia kuhusika kwake kwenye mapinduzi ya kijeshi. Chini ya utawala wake watu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 May
Rais wa zamani wa Uturuki aaga dunia
10 years ago
StarTV10 May
Rais wa zamani wa Uturuki afariki dunia
Aliyekuwa rais wa Uturuki Kenan Evren ambaye aliongoza mapindunzi yaliyokumbwa na umwagikaji wa damu mwaka 1980 ameaga dunia kwenye hospitali moja mjini Ankara akiwa na umri wa miaka 97.
Mwaka uliopita alihukumiwa kifungo cha maisha gerezani kufuatia kuhusika kwake kwenye mapinduzi ya kijeshi.
Chini ya utawala wake watu kadha walinyongwa , maelfu wakakamatwa na vyama vya kisiasa vikapigwa marufuku.
Vyombo vya habari vilivyotangaza kinyume na mapinduzi hayo vilifungwa .
Generali Evren...
5 years ago
CCM Blog07 Jun
KATIBU MKUU WA ZAMANI IJM AAGA DUNIA

11 years ago
BBCSwahili29 Oct
Rais Michael Sata wa Zambia aaga dunia
11 years ago
BBCSwahili30 Oct
Rais wa Zambia Michael Sata aaga dunia
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Hosni Mubarak alikuwa nani? Rais wa Misri aliyengatulia madarakani aaga dunia akiwa na umri wa miaka 91.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Bingwa wa muziki wa Blues aaga dunia
11 years ago
BBCSwahili31 Aug
Daktari mwengine wa Ebola aaga dunia