Katibu wa Bunge Dr Kashililah katika ziara ya kikazi Uingereza
![](http://3.bp.blogspot.com/-monhpZowVTc/U75MF1_okAI/AAAAAAAF0bA/ZLflbFn3t4s/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Katibu wa Bunge Dr Thomas Kashililah ambae pia ni Katibu Mkuu wa CPA Barani Afrika akisikiliza maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa CPA duniani,Dr William Shija wakati alipotembelea Makao Makuu ya Chama hicho yaliyopo London.Kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha wa chama hicho Bw.Joe Omorodin na kulia ni Mkuu wa Itifaki katika ofisi ya Bunge,Bw.Demetrius Mgalami.
Katibu wa Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola tawi la Uingereza,Bw.Andrew Tuggey akitoa ufafanuzi wa namna tawi hilo linavyojiendesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HnO9ffD8yR0/U7z48f0BidI/AAAAAAAFzt8/IR0sqpX2p9M/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Katibu wa Bunge Dk. Kashililah katika ziara ya kikazi nchini Uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-HnO9ffD8yR0/U7z48f0BidI/AAAAAAAFzt8/IR0sqpX2p9M/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-V7Qa0m6EzgA/U7z48-j1YaI/AAAAAAAFzuM/IV9bCl6v0zI/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2kqUpeOkPjU/VPUcipo14hI/AAAAAAAHHOI/R2O_H7NOCOo/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah atembelea ubalozi wetu Malaysia
![](http://1.bp.blogspot.com/-2kqUpeOkPjU/VPUcipo14hI/AAAAAAAHHOI/R2O_H7NOCOo/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VN_dBYMIcQ4/VPUcijjxPII/AAAAAAAHHOM/A8ump6_c-80/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7XwKbp4ikE/UzM771rcUPI/AAAAAAAFWto/h-Fhr48uwFY/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi ahitimisha Ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua mradi wa bomba la gesi aasilia
11 years ago
Dewji Blog14 May
Katibu Mkuu wa Shirika la kimataifa la usafiri wa anga (ICAO) Bw. Raymond Benjamin awasili nchini kwa ziara ya 5 kikazi
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiongozana na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin baada ya kuwasilia katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam,kwa ziara ya kikazi nchini kuanzia leo tarehe 14n hadi 18 Mei 2014. Tanzania ni moja ya nchi mbili ikiwemo Ethiopia atakazotembelea katika Kanda ya ICAO .
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1cmijUKvqd8/U3Oc2iBca4I/AAAAAAAFhuc/ZAdBwdOLbto/s72-c/000.jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO) BW,RAYMOND BENJAMIN AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1cmijUKvqd8/U3Oc2iBca4I/AAAAAAAFhuc/ZAdBwdOLbto/s1600/000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n9Or-5vivTU/U3Oc4hQIFFI/AAAAAAAFhus/O3NOMXlhzYI/s1600/03.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eeXPi4IWblY/U72wkxpXNZI/AAAAAAAF0SM/1YKLYITT4-E/s72-c/unnamed+(66).jpg)
JK KATIKA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eeXPi4IWblY/U72wkxpXNZI/AAAAAAAF0SM/1YKLYITT4-E/s1600/unnamed+(66).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HEOj2p7-HXk/U72wk5v2hqI/AAAAAAAF0R8/_u4JcmIqjv0/s1600/unnamed+(67).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E__U5BbZ4ds/VN35HrgjTHI/AAAAAAADYDw/O8hns7XBiec/s72-c/20150212_104312.jpg)
Kamati ya Bunge ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi yafanya ziara ya kikazi Jijini Dubai
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ofzHefzvsl4%2FVN35Ga40rSI%2FAAAAAAADYDk%2FH7mmydBfuM8%2Fs1600%2F20150212_104038.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E__U5BbZ4ds/VN35HrgjTHI/AAAAAAADYDw/O8hns7XBiec/s1600/20150212_104312.jpg)
Aidha, Mhe. William Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliongozana na Kamati. Ziara hii fupi imekuwa ya mafanikio makubwa, kwani kamati pamoja wajumbe wengine wamekubaliana masuala muhimu ambayo wameona yanafaa kuishairi Serikali...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Rais Kikwete katika ziara ya kikazi Mkoani Tanga
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Pikipiki mmoja wa maafisa watendaji kata Wilaya ya Kilindi Bi.Elizabeth Mwita muda mfupi kabla ya Rais Kuhutubia Mkutano wa hadhara mjini Songe Kilindi. Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi mkoani Tanga.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kombe katibu wa TFF Wilaya ya Kilindi Bwana Omari Javu wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Songe Kilindi jana.Kombe hilo lijulikanalo kama Kikwete cup litashindaniwa katika ligi ya wilaya...