Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu wa RAAWU aifagilia UPL


NA MWANDISHI WETU
KATIBU wa Chama Wafanyakazi wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu, Utafiti na Habari  (RAAWU), Kanda ya Mashariki, Mecki Kimoni, ameipongeza Uhuru Publications Ltd (UPL), kwa kuboresha magazeti yake ya Uhuru, Mzalendo na Burudani.
Amesema magazeti hayo yameboreshwa kwa kiwango kikubwa na kuwavutia wasomaji katika maeneo mbalimbali nchini, zikiwemo ofisi za taasisi yake.
Kimoni alisema hayo katika  kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa UPL, kilichofanyika juzi jijini Dar es...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Kawowo Sports

Why UPL fixtures remain unaffected by Coronavirus

Why UPL fixtures remain unaffected by Coronavirus  Kawowo SportsFUFA to Uganda Premier League clubs: You must employ a security officer, stadium stewards  Kawowo SportsUganda Football Academies attain key benchmark guidelines  Kawowo SportsView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA RAAWU HESLB WAKUTANA

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.
Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Raawu yawajia juu wajumbe 201

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Utafiti na kazi nyinginezo (Raawu) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia baadhi ya wajumbe wa kundi la 201 kukaa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ihojiwe kukithiri rushwa nchini- Raawu

Watanzania wametakiwa kuamka na kuwahoji waajiri, ikiwamo Serikali sababu za wafanyakazi wa umma kuomba rushwa kwa huduma wanazotoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ijali wafanyakazi kwa vitendo — RAAWU

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa taasisi za Elimu ya Juu, Habari, Ufundi na Utafuti (RAAWU) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, ameitaka serikali kutumia vema Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RAAWU yakerwa na mawaziri waliowaalika chakula kundi la 201

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti (RAAWU), mkoani Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia mawaziri waliohusika kuwaita wajumbe wa kundi la 201 nyumbani kwao kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mangula aifagilia Ukawa

>Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula amevipongeza vyama vya upinzani kwa kuungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) akisema hatua hiyo itawafanya kuwa na nguvu zaidi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mchechu aifagilia taasisi ya Nkwamira

MKURUGENZI wa Shirika la Nyumba nchini (NHC), Nehemiah Mchechu, ameahidi ushirikiano wa bega kwa bega na Taasisi inayojishughulisha na utoaji wa misaada ya elimu (Nkwamira), kusaidia wanafunzi kuweza kupata vitabu....

 

9 years ago

Habarileo

Nape aifagilia Home Coming

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ameipongeza kampuni ya Alkamest Media kwa kuandaa filamu ya Homecoming kwa kiwango cha kimataifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani