WANACHAMA WA RAAWU HESLB WAKUTANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nKbpycSWjZ4/UwsQgFil93I/AAAAAAAFPNM/yOhZR7m14nE/s72-c/New+Picture+(11).png)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.
Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KpP6UOlLcGA/UwuWeczkRMI/AAAAAAAFPTA/Ah0uRv8o32k/s72-c/se1.jpg)
Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana
11 years ago
Uhuru Newspaper15 Jul
Katibu wa RAAWU aifagilia UPL
NA MWANDISHI WETU
KATIBU wa Chama Wafanyakazi wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu, Utafiti na Habari (RAAWU), Kanda ya Mashariki, Mecki Kimoni, ameipongeza Uhuru Publications Ltd (UPL), kwa kuboresha magazeti yake ya Uhuru, Mzalendo na Burudani.
Amesema magazeti hayo yameboreshwa kwa kiwango kikubwa na kuwavutia wasomaji katika maeneo mbalimbali nchini, zikiwemo ofisi za taasisi yake.
Kimoni alisema hayo katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa UPL, kilichofanyika juzi jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Raawu yawajia juu wajumbe 201
KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Utafiti na kazi nyinginezo (Raawu) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia baadhi ya wajumbe wa kundi la 201 kukaa...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Serikali ihojiwe kukithiri rushwa nchini- Raawu
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Serikali ijali wafanyakazi kwa vitendo — RAAWU
KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa taasisi za Elimu ya Juu, Habari, Ufundi na Utafuti (RAAWU) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, ameitaka serikali kutumia vema Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
RAAWU yakerwa na mawaziri waliowaalika chakula kundi la 201
KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti (RAAWU), mkoani Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia mawaziri waliohusika kuwaita wajumbe wa kundi la 201 nyumbani kwao kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s72-c/W3.jpg)
Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s640/W3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W87GdMd-xbA/VRq-x07IeDI/AAAAAAABqSA/rG7r7p5GINY/s640/W%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvvUTJvIL4E/VRq-1KjGDUI/AAAAAAABqSI/rFbtDFPl3mA/s640/W%2B1.jpg)
9 years ago
TheCitizen10 Nov
HESLB new list of beneficiaries out
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Mafanikio na changamoto za HESLB
KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa elimu ya juu wanapata unafuu katika kugharimia masomo yao, serikali ilianzisha mpango maalumu wa kuwakopesha fedha watakazorejesha baada ya kuhitimu na kupata ajira. Mikopo hiyo kwa...