Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANACHAMA WA RAAWU HESLB WAKUTANA

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.
Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wakutana

Wananchama wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari na Utafiti nchini (RAAWU), Tawi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wamekutana kwa semina ya siku mbili mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia pamoja na mambo mengine; masuala ya nafasi na wajibu wa kisheria wa vyama vya wafanyakazi katika kuleta tija na ufanisi sehemu za kazi.   Akifungua semina hiyo ya siku mbili kwa wanachama wa RAAWU tawi la HESLB, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Katibu wa RAAWU aifagilia UPL


NA MWANDISHI WETU
KATIBU wa Chama Wafanyakazi wa Chama cha Wafanyakazi wa Elimu ya Juu, Utafiti na Habari  (RAAWU), Kanda ya Mashariki, Mecki Kimoni, ameipongeza Uhuru Publications Ltd (UPL), kwa kuboresha magazeti yake ya Uhuru, Mzalendo na Burudani.
Amesema magazeti hayo yameboreshwa kwa kiwango kikubwa na kuwavutia wasomaji katika maeneo mbalimbali nchini, zikiwemo ofisi za taasisi yake.
Kimoni alisema hayo katika  kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa UPL, kilichofanyika juzi jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Raawu yawajia juu wajumbe 201

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Utafiti na kazi nyinginezo (Raawu) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia baadhi ya wajumbe wa kundi la 201 kukaa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ihojiwe kukithiri rushwa nchini- Raawu

Watanzania wametakiwa kuamka na kuwahoji waajiri, ikiwamo Serikali sababu za wafanyakazi wa umma kuomba rushwa kwa huduma wanazotoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ijali wafanyakazi kwa vitendo — RAAWU

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa taasisi za Elimu ya Juu, Habari, Ufundi na Utafuti (RAAWU) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, ameitaka serikali kutumia vema Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RAAWU yakerwa na mawaziri waliowaalika chakula kundi la 201

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti (RAAWU), mkoani Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia mawaziri waliohusika kuwaita wajumbe wa kundi la 201 nyumbani kwao kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.

Maafisa kutoka Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF)wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfukohuo.Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli"Wanachama wa VIKOBA mkoa wa Arusha wakifuatilia kwa makini Kongamano la Vikoba lililofanyika katika ukumbi wa Olasiti garden na kudhaminiwa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF).Kauli mbiu ya Kongamano hilo ni "Vikoba Chachu ya Maendeleo ya Kweli".(Picha na...

 

9 years ago

TheCitizen

HESLB new list of beneficiaries out

The Higher Education Students Loans Board (HESLB) has refuted reports that it has no intention of issuing loans to new applicants in the 2015/16 academic year.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafanikio na changamoto za HESLB

KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa elimu ya juu wanapata unafuu katika kugharimia masomo yao, serikali ilianzisha mpango maalumu wa kuwakopesha fedha watakazorejesha baada ya kuhitimu na kupata ajira. Mikopo hiyo kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani