Katibu wa Yanga aponda ubabaishaji katika soka
Soka la Tanzania limegubikwa na mfumo mbovu, wanaolisimamia wamekuwa vigeugeu kuanzia viongozi mpaka mashabiki,†anasema Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Nyota Yanga: Ubabaishaji umenistaafisha soka mapema
KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima, katika safu ya ‘Jicho Letu Mtandaoni’ inayokujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi yanayojiri katika kurasa/akaunti za...
11 years ago
Mwananchi10 May
Pluijm aponda mfumo wa soka nchini
9 years ago
Habarileo30 Nov
Katibu Mkuu afunga programu ya soka la wanawake
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel jana amefunga programu ya Live Your Goal iliyoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika Uwanja wa Karume jijini Dar es salaam.
10 years ago
Mwananchi01 May
SOKA AFRIKA: Yanga SC jogoo la shamba
10 years ago
Vijimambo24 Feb
Redondo: Simba, Yanga zinaua soka la Tanzania
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2629816/highRes/949907/-/maxw/600/-/giroay/-/redondo+picha.jpg)
Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara wanalichimbia kaburi na kulizika soka taratibu.KUNA mambo kwa Tanzania yamesalia kuwa ndoto, mfano kwa timu ya Taifa kushiriki ama kutwaa Kombe la Dunia. Hili haliwezekani kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na mfumo wa soka letu.Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Pluijm eti anataka soka la Wenger Yanga
Arsene Wenger
Na Sweetbert Lukonge
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekubali yaishe kwa kusema sasa anataka mabao tu na haina haja kupiga pasi nyingi wakati timu inataka ushindi, naye Hans van Der Pluijm wa Yanga ameiga.
Wakati Wenger akitamka maneno hayo katikati ya wiki hii, Pluijm raia wa Uholanzi anayeinoa Yanga amesema maneno hayo jana Ijumaa wakati timu yake ilipofanya mazoezi ya mwisho kabla ya leo kuivaa Mbeya City.
Hans van Der Pluijm wa Yanga.
Akizungumza na Championi Jumamosi,...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Mahaba ya TFF kwa Yanga na hatma ya soka letu
MAFANIKIO ya Soka la Tanzania yanategemea sana nidhamu, juhudi na moyo wa dhati wa kujitoa kwa wa
Mwandishi Wetu