Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katibu wa Yanga aponda ubabaishaji katika soka

Soka la Tanzania limegubikwa na mfumo mbovu, wanaolisimamia wamekuwa vigeugeu kuanzia viongozi mpaka mashabiki,” anasema Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota Yanga: Ubabaishaji umenistaafisha soka mapema

KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima, katika safu ya ‘Jicho Letu Mtandaoni’ inayokujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi yanayojiri katika kurasa/akaunti za...

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm aponda mfumo wa soka nchini

>Aliyekuwa kocha wa Yanga, Hans Van Der Plujim ameponda miundombinu ya viwanja nchini na kudai inachangia soka la Tanzania kutoendelea.

 

9 years ago

Habarileo

Katibu Mkuu afunga programu ya soka la wanawake

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel jana amefunga programu ya Live Your Goal iliyoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika Uwanja wa Karume jijini Dar es salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

SOKA AFRIKA: Yanga SC jogoo la shamba

>Waswahili  husema, jogoo la shamba haliwiki mjini. Hicho ndicho kinachoweza kusemwa wakati Yanga ikikabiliwa na kitendawili kigumu inachotakiwa kukijibu kesho kwenye Uwanja wa Olympique de Sousse  (saa 3 usiku kwa saa za Tanzania).

 

10 years ago

Vijimambo

Redondo: Simba, Yanga zinaua soka la Tanzania

Kiungo wa zamani wa Simba , Ramadhani chombo 'Redondo' 
Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara wanalichimbia kaburi na kulizika soka taratibu.KUNA mambo kwa Tanzania yamesalia kuwa ndoto, mfano kwa timu ya Taifa kushiriki ama kutwaa Kombe la Dunia. Hili haliwezekani kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na mfumo wa soka letu.Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki...

 

9 years ago

Global Publishers

Pluijm eti anataka soka la Wenger Yanga

wengerArsene Wenger

Na Sweetbert Lukonge

KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekubali yaishe kwa kusema sasa anataka mabao tu na haina haja kupiga pasi nyingi wakati timu inataka ushindi, naye Hans van Der Pluijm wa Yanga ameiga.

Wakati Wenger akitamka maneno hayo katikati ya wiki hii, Pluijm raia wa Uholanzi anayeinoa Yanga amesema maneno hayo jana Ijumaa wakati timu yake ilipofanya mazoezi ya mwisho kabla ya leo kuivaa Mbeya City.

pluijm1.jpgHans van Der Pluijm wa Yanga.

Akizungumza na Championi Jumamosi,...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mahaba ya TFF kwa Yanga na hatma ya soka letu

MAFANIKIO ya Soka la Tanzania yanategemea sana nidhamu, juhudi na moyo wa dhati wa kujitoa kwa wa

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani