Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOKA AFRIKA: Yanga SC jogoo la shamba

>Waswahili  husema, jogoo la shamba haliwiki mjini. Hicho ndicho kinachoweza kusemwa wakati Yanga ikikabiliwa na kitendawili kigumu inachotakiwa kukijibu kesho kwenye Uwanja wa Olympique de Sousse  (saa 3 usiku kwa saa za Tanzania).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO

Diaspora tunachangamoto nyingi zinazo tukabili ukiachia mbali swala la uraia pacha ambalo sasa tumewekwa kama raia wa kigeni kwenye nchi yako ya kuzaliwa na kinachoangaliwa zaidi ni kitu gani umeifanyia nchi yako japo ughaibuni umekuja kutafuta sawa na Mtanzania yeyote aliyetoka mkoani na kuelekea Dar es Salaam kwa lengo lilelile analofanya mwanaDiaspora anapokuja ughaibuni.

Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...

 

10 years ago

Habarileo

Shamba apatikana na zao la ‘shamba’

SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wanaua soka Afrika

 Kocha wa timu ya taifa ya Benin, Olle  Didier Nicolle amesema viongozi ndio wanaoharibu mpira  wa Afrika na wasipobadilika soka la bara hili litazidi  kuteketea.

 

10 years ago

Mwananchi

Utumwa wa soka unaitesa Afrika

Bila wasiwasi, soka ni mchezo mkubwa Afrika, na katika bara hilo siyo lazima uwe na uwanja wenye nyasi ndiyo soka lichezwe, soka linachezwa hata kwenye viwanja vyenye vumbi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yaongoza Afrika katika soka

Timu ya Algeria imepanda hadi nafasi ya 15 duniani mwezi huu.

 

9 years ago

Global Publishers

Pluijm eti anataka soka la Wenger Yanga

wengerArsene Wenger

Na Sweetbert Lukonge

KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekubali yaishe kwa kusema sasa anataka mabao tu na haina haja kupiga pasi nyingi wakati timu inataka ushindi, naye Hans van Der Pluijm wa Yanga ameiga.

Wakati Wenger akitamka maneno hayo katikati ya wiki hii, Pluijm raia wa Uholanzi anayeinoa Yanga amesema maneno hayo jana Ijumaa wakati timu yake ilipofanya mazoezi ya mwisho kabla ya leo kuivaa Mbeya City.

pluijm1.jpgHans van Der Pluijm wa Yanga.

Akizungumza na Championi Jumamosi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota Yanga: Ubabaishaji umenistaafisha soka mapema

KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima, katika safu ya ‘Jicho Letu Mtandaoni’ inayokujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi yanayojiri katika kurasa/akaunti za...

 

11 years ago

Mwananchi

Katibu wa Yanga aponda ubabaishaji katika soka

Soka la Tanzania limegubikwa na mfumo mbovu, wanaolisimamia wamekuwa vigeugeu kuanzia viongozi mpaka mashabiki,” anasema Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu.

 

10 years ago

Vijimambo

Redondo: Simba, Yanga zinaua soka la Tanzania

Kiungo wa zamani wa Simba , Ramadhani chombo 'Redondo' 
Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara wanalichimbia kaburi na kulizika soka taratibu.KUNA mambo kwa Tanzania yamesalia kuwa ndoto, mfano kwa timu ya Taifa kushiriki ama kutwaa Kombe la Dunia. Hili haliwezekani kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na mfumo wa soka letu.Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani