SOKA AFRIKA: Yanga SC jogoo la shamba
>Waswahili husema, jogoo la shamba haliwiki mjini. Hicho ndicho kinachoweza kusemwa wakati Yanga ikikabiliwa na kitendawili kigumu inachotakiwa kukijibu kesho kwenye Uwanja wa Olympique de Sousse (saa 3 usiku kwa saa za Tanzania).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO
Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Shamba apatikana na zao la ‘shamba’
SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Viongozi wanaua soka Afrika
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Utumwa wa soka unaitesa Afrika
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Pluijm eti anataka soka la Wenger Yanga
Arsene Wenger
Na Sweetbert Lukonge
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekubali yaishe kwa kusema sasa anataka mabao tu na haina haja kupiga pasi nyingi wakati timu inataka ushindi, naye Hans van Der Pluijm wa Yanga ameiga.
Wakati Wenger akitamka maneno hayo katikati ya wiki hii, Pluijm raia wa Uholanzi anayeinoa Yanga amesema maneno hayo jana Ijumaa wakati timu yake ilipofanya mazoezi ya mwisho kabla ya leo kuivaa Mbeya City.
Hans van Der Pluijm wa Yanga.
Akizungumza na Championi Jumamosi,...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Nyota Yanga: Ubabaishaji umenistaafisha soka mapema
KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima, katika safu ya ‘Jicho Letu Mtandaoni’ inayokujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi yanayojiri katika kurasa/akaunti za...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Katibu wa Yanga aponda ubabaishaji katika soka
10 years ago
Vijimambo24 Feb
Redondo: Simba, Yanga zinaua soka la Tanzania
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2629816/highRes/949907/-/maxw/600/-/giroay/-/redondo+picha.jpg)
Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara wanalichimbia kaburi na kulizika soka taratibu.KUNA mambo kwa Tanzania yamesalia kuwa ndoto, mfano kwa timu ya Taifa kushiriki ama kutwaa Kombe la Dunia. Hili haliwezekani kwa miaka ya hivi karibuni kutokana na mfumo wa soka letu.Kiungo wa zamani wa Simba, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ anadai kuwa, viongozi wa klabu zinazoshiriki...