Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wanaua soka Afrika

 Kocha wa timu ya taifa ya Benin, Olle  Didier Nicolle amesema viongozi ndio wanaoharibu mpira  wa Afrika na wasipobadilika soka la bara hili litazidi  kuteketea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mwakipunda: Viongozi wanaua kikapu nchini

Lusajo Samwel Mwakipunda ni mmoja wa wachezaji wenye kiwango cha juu kwenye mchezo wa mpira wa kikapu nchini.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak O bama.  Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani  ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC.… ...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Ikulu ya Marekani (White House) jijini Washington DC kwa dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa viongozi wa Afrika na mwenyeji wao Rais Barak Obama Julai 5, 2014. Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Afrika katika mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani  ambao umefunguliwa na Rais Barak Obama katika ukumbi wa State Department jijini Washington DC  leo Julai 6, 2014.  Sehemu ya wajumbe wa Mkutano wa Viongozi wa Afrika...

 

10 years ago

Mwananchi

Tazama viongozi wanavyouwa soka nchini

Akili ni dira inayomwongoza mtu katika utekelezaji wa mambo yote. Akili ndiyo chimbuko la fikra au mawazo yanayomjia mtu anapotaka kufanya jambo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa soka Arusha wamruka DC Arumeru

SAKATA la vijana wa The Dream Team ya Arumeru mkoani hapa kutelekezwa nchini Brazil, limechukua sura nyingine baada ya Chama cha Soka Mkoa (ARFA), kuruka kimanga kujihusisha na uratibu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri, awagawa, viongozi, Simba, soka, tff, misimbazi, Tanzania

Kuanza vibaya kwa Simba katika Ligi Kuu Bara msimu huu na hatima ya kocha mkuu wa timu hiyo, Patrick Phiri kumewagawa kimsimamo viongozi wa klabu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Utumwa wa soka unaitesa Afrika

Bila wasiwasi, soka ni mchezo mkubwa Afrika, na katika bara hilo siyo lazima uwe na uwanja wenye nyasi ndiyo soka lichezwe, soka linachezwa hata kwenye viwanja vyenye vumbi.

 

9 years ago

Michuzi

ACACIA YADHAMINI PAMBANO LA SOKA LA VIONGOZI WA DINI NA MABALOZI KUHAMASISHA AMANI

 Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni nahodha wa timu ya viongozi wa dini, Alhadi Mussa Salum, akinyanyua juu kikombe cha ushindi wa pili baada ya kumalizika kwa pambano la soka kati ya viongozi hao na mabalozi kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo Oktoba 17, 2015. Mabalozi walishinda kwa mikwaju ya penati 3-2 na kutwaa kombe. Katikati ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, na wakwanza ushoto ni Meneja Mkuu wa kampuni ya Acacia, anayeshughulikia ustawi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Algeria yaongoza Afrika katika soka

Timu ya Algeria imepanda hadi nafasi ya 15 duniani mwezi huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani