Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazama viongozi wanavyouwa soka nchini

Akili ni dira inayomwongoza mtu katika utekelezaji wa mambo yote. Akili ndiyo chimbuko la fikra au mawazo yanayomjia mtu anapotaka kufanya jambo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tazama hapa ratiba ya soka ya ligi kubwa barani Ulaya leo Jumamosi, Januari 2

maxresdefault

Na Rabi Hume, Modewjiblog Baada ya kusherekea mwaka mpya hapo jana, leo Jumamosi ligi ya Uingereza na Hispania zinatarajiwa kuendelea kwa michezo kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, blog yako bora ya habari Modewjiblog imekuandalia ratiba kamili ya michezo hiyo: UINGEREZA – PREMIER LEAGUE West Ham United – Liverpool 15:45 EAT Arsenal – Newcastle United 18:00 EAT Leicester City – AFC Bournemouth 18:00 EAT Manchester United – Swansea City 18:00 EAT Norwich – Southmpton 18:00...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wanaua soka Afrika

 Kocha wa timu ya taifa ya Benin, Olle  Didier Nicolle amesema viongozi ndio wanaoharibu mpira  wa Afrika na wasipobadilika soka la bara hili litazidi  kuteketea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa soka Arusha wamruka DC Arumeru

SAKATA la vijana wa The Dream Team ya Arumeru mkoani hapa kutelekezwa nchini Brazil, limechukua sura nyingine baada ya Chama cha Soka Mkoa (ARFA), kuruka kimanga kujihusisha na uratibu wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwigizaji mkongwe nchini Lucy Komba afunga ndoa. Tazama picha za harusi

Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika

"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku...

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI MKUTANO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NCHINI ETHIOPIA

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.


Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri, awagawa, viongozi, Simba, soka, tff, misimbazi, Tanzania

Kuanza vibaya kwa Simba katika Ligi Kuu Bara msimu huu na hatima ya kocha mkuu wa timu hiyo, Patrick Phiri kumewagawa kimsimamo viongozi wa klabu hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

ACACIA YADHAMINI PAMBANO LA SOKA LA VIONGOZI WA DINI NA MABALOZI KUHAMASISHA AMANI

 Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye ni nahodha wa timu ya viongozi wa dini, Alhadi Mussa Salum, akinyanyua juu kikombe cha ushindi wa pili baada ya kumalizika kwa pambano la soka kati ya viongozi hao na mabalozi kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo Oktoba 17, 2015. Mabalozi walishinda kwa mikwaju ya penati 3-2 na kutwaa kombe. Katikati ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, na wakwanza ushoto ni Meneja Mkuu wa kampuni ya Acacia, anayeshughulikia ustawi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani