Pluijm aponda mfumo wa soka nchini
>Aliyekuwa kocha wa Yanga, Hans Van Der Plujim ameponda miundombinu ya viwanja nchini na kudai inachangia soka la Tanzania kutoendelea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Katibu wa Yanga aponda ubabaishaji katika soka
9 years ago
Bongo501 Dec
Msanii wa Nigeria Burna Boy aponda mfumo wa muziki wa Nigeria, adai umejaa siasa
![Burna-Boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Burna-Boy-300x194.jpg)
Muimbaji wa Dancehall kutoka Nigeria, Burna Boy ameponda mfumo wa muziki wa Nigeria na kudai kuwa umejaa siasa ndio sababu hapati tuzo nyingi anazostahili.
Akizungumza na jarida la Fader, Burna amesema kutokana na hayo anajiona kama yeye si sehemu ya muziki wa Nigeria kwasababu kuna baadhi ya watu walioutawala muziki huo wasiompenda.
“Kusema kweli ni siasa tupu, sijioni kama ni sehemu ya kiwanda cha muziki, angalia tuzo, sipati tuzo kwasababu wanaoutawala hawanipendi, mimi sio kama...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Pluijm eti anataka soka la Wenger Yanga
Arsene Wenger
Na Sweetbert Lukonge
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekubali yaishe kwa kusema sasa anataka mabao tu na haina haja kupiga pasi nyingi wakati timu inataka ushindi, naye Hans van Der Pluijm wa Yanga ameiga.
Wakati Wenger akitamka maneno hayo katikati ya wiki hii, Pluijm raia wa Uholanzi anayeinoa Yanga amesema maneno hayo jana Ijumaa wakati timu yake ilipofanya mazoezi ya mwisho kabla ya leo kuivaa Mbeya City.
Hans van Der Pluijm wa Yanga.
Akizungumza na Championi Jumamosi,...
11 years ago
Michuzi19 Apr
11 years ago
Michuzi03 Aug
BAADA YA KIPIGO CHA SERENGETI BOYS, MALINZI AKIRI UBOVU WA MAANDALIZI NA KUKOSEKANA KWA MFUMO SAHIHI WA SOKA LA VIJANA
![](https://4.bp.blogspot.com/-ID3VTryj8Jg/UmfM952qJhI/AAAAAAAAGy4/Q-FFd97-la4/s640/Jamal+Malinzi%28TFF-PRES+CANDIDATE%29.jpg)
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kukithiri rushwa nchini ni tatizo la mfumo
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mbunge alalamikia mfumo wa elimu nchini
NA SAFINA SARWATT, MOSHI
MBUNGE wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (Chadema), amesema Watanzania wengi ni masikini kwa kuwa mfumo wa elimu uliopo nchini ni mbovu.
Komu aliyasema hayo juzi katika Tarafa ya Kibosho Magharibi alipokuwa kwenye ziara na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga.
Wakati wa ziara hiyo, Komu alilenga kusikiliza kero za wananchi na kukutana na viongozi waliomaliza muda wao wakiwamo wenyeviti wa vijiji na madiwani.
“Watanzania wanatakiwa kujengewa misingi bora ya elimu...