KAULI YA WAZIRI MEMBE BUNGENI KUHUSU BIASHARA HARAMU YA PEMBE ZA NDOVU.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe
Mheshimiwa Spika,
Siku ya Jana Vyombo vya Habari mbalimbali vya Ndani na Nje ya Nchi vilitoa habari kwamba ujumbe wa Rais wa China uliokuja nchini Miezi 18 iliyopita ulijihusisha na ununuzi wa pembe za ndovu nchini. Chanzo cha habari hizo ni taarifa ya taasisi isiyo ya kiserikali ya nchini Marekani ijulikanayo kama Environmental Investigation Agency (EIA). Habari hiyo imekwenda mbali zaidi kuituhumu nchi yetu na viongozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE AKANUSHA KUHUSU NDEGE YA RAIS WA CHINA KUBEBA PEMBE ZA NDOVU NA KUSEMA NI UONGO!
10 years ago
MichuziBALOZI WA CHINA NCHINI APONGEZA MSIMAMO WA TANZANIA DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA PEMBE ZA NDOVU
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
TZ yakanusha biashara ya pembe za ndovu
10 years ago
Vijimambo07 Nov
TANZANIA YAKANUSHA BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU
![](http://api.ning.com/files/15pbGCBw7iOV0d3DG1IQ1VKsi8DV3LTOQzaoWb*W2bKpF*7VdOPl-uBGrHjbuGUKmrX5smxYZLz*nN2hlSSwCP8e0pn28gvy/PEMBEZANDOVU.jpg)
Serikali ya nchi hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya meno ya tembo.
Inadaiwa kwamba raia wa China walitumia ziara ya rais wao nchini humo kusafirisha kimagendo...
10 years ago
StarTV07 Nov
Serikali yakanusha biashara ya pembe za ndovu
Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya meno ya tembo kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China.
Serikali ya nchi hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya meno ya tembo.
Inadaiwa kwamba raia wa China walitumia ziara ya rais wao nchini humo kusafirisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/15pbGCBw7iOV0d3DG1IQ1VKsi8DV3LTOQzaoWb*W2bKpF*7VdOPl-uBGrHjbuGUKmrX5smxYZLz*nN2hlSSwCP8e0pn28gvy/PEMBEZANDOVU.jpg)
SAKATA BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU, TANZANIA YAKANUSHA
11 years ago
Michuzi13 Feb
JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI
9 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi