SAKATA BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU, TANZANIA YAKANUSHA
![](http://api.ning.com:80/files/15pbGCBw7iOV0d3DG1IQ1VKsi8DV3LTOQzaoWb*W2bKpF*7VdOPl-uBGrHjbuGUKmrX5smxYZLz*nN2hlSSwCP8e0pn28gvy/PEMBEZANDOVU.jpg)
Pembe za ndovu. SERIKALI ya Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya pembe za ndovu kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China. Serikali hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa Kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya pembe za ndovu....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Nov
TANZANIA YAKANUSHA BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU
![](http://api.ning.com/files/15pbGCBw7iOV0d3DG1IQ1VKsi8DV3LTOQzaoWb*W2bKpF*7VdOPl-uBGrHjbuGUKmrX5smxYZLz*nN2hlSSwCP8e0pn28gvy/PEMBEZANDOVU.jpg)
Serikali ya nchi hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya meno ya tembo.
Inadaiwa kwamba raia wa China walitumia ziara ya rais wao nchini humo kusafirisha kimagendo...
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
TZ yakanusha biashara ya pembe za ndovu
10 years ago
StarTV07 Nov
Serikali yakanusha biashara ya pembe za ndovu
Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya meno ya tembo kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China.
Serikali ya nchi hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya meno ya tembo.
Inadaiwa kwamba raia wa China walitumia ziara ya rais wao nchini humo kusafirisha...
10 years ago
MichuziBALOZI WA CHINA NCHINI APONGEZA MSIMAMO WA TANZANIA DHIDI YA BIASHARA HARAMU YA PEMBE ZA NDOVU
11 years ago
Habarileo03 Jan
TPA yaelezea sakata la pembe za ndovu
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imekiri kukamata shehena ya pembe za ndovu katika Bandari ya Dar es Salaam, inayodaiwa raia wa China walitaka kuisafirisha kwenye meli ya kijeshi ya nchi yao.
11 years ago
Michuzi13 Feb
JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI
10 years ago
VijimamboKAULI YA WAZIRI MEMBE BUNGENI KUHUSU BIASHARA HARAMU YA PEMBE ZA NDOVU.
Mheshimiwa Spika,
Siku ya Jana Vyombo vya Habari mbalimbali vya Ndani na Nje ya Nchi vilitoa habari kwamba ujumbe wa Rais wa China uliokuja nchini Miezi 18 iliyopita ulijihusisha na ununuzi wa pembe za ndovu nchini. Chanzo cha habari hizo ni taarifa ya taasisi isiyo ya kiserikali ya nchini Marekani ijulikanayo kama Environmental Investigation Agency (EIA). Habari hiyo imekwenda mbali zaidi kuituhumu nchi yetu na viongozi...
9 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
10 years ago
MichuziMarekani na Tanzania zazindua Program ya Mbwa Maalum wa kubaini Dawa za kulevya na Pembe za ndovu