TPA yaelezea sakata la pembe za ndovu
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imekiri kukamata shehena ya pembe za ndovu katika Bandari ya Dar es Salaam, inayodaiwa raia wa China walitaka kuisafirisha kwenye meli ya kijeshi ya nchi yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
SAKATA BIASHARA YA PEMBE ZA NDOVU, TANZANIA YAKANUSHA
Pembe za ndovu. SERIKALI ya Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya pembe za ndovu kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China. Serikali hiyo imesema imesikitishwa na ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi ya mazingira inayodai kwamba majangili wa Kichina wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania ndio wanaoangamiza idadi ya tembo kutokana na biashara haramu ya pembe za ndovu....
10 years ago
Bongo509 Oct
Mwanamke wa Kichina maarufu kama ‘Malkia wa Pembe za Ndovu’ akamatwa nchini akisafirisha pembe zenye thamani ya £1.62m
Mwanamke wa China anayedaiwa kuongoza genge kubwa zaidi la usafirishaji pembe za ndovu barani Afrika amekamatwa nchini. Akipewa jina la utani “Ivory Queen”, Yang Feng Glan anadaiwa kusafirisha pembe za ndovu 706 kutoka nchini kwenda Mashariki ya mbali. Glan, 66, anadaiwa kuwa na ukaribu na majangili wa Afrika Mashariki na walanguzi wa China. Anadaiwa pia […]
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ufaransa kuteketeza pembe za Ndovu
Tani tatu za pembe za Ndovu zitateketezwa hii leo Nchini Ufansa ili kuonyesha kujitolea kwa serikali ya taifa hilo katika vita dhidi ya biashara hiyo haramu.
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
TZ yakanusha biashara ya pembe za ndovu
Tanzania imeshtushwa na ripoti inayoelezea biashara haramu ya meno ya tembo kati ya baadhi ya viongozi wa nchi hiyo na China
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Wakamatwa na pembe za Ndovu Togo
Polisi nchini Togo wamewakamata watu watatu baada ya kuwanasa na tani mbili za pembe za Ndovu wakizafirisha kwenda Vietnam
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Pembe za Ndovu zanaswa Thailand
Wakuu wa forodha nchini Thailand wamenasa shehena kubwa zaidi ya pembe za ndovu kuwahi kunaswa katika historia ya taifa hilo
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Pembe za ndovu: TZ yaishtaki Malawi
Tanzania imekwenda mahakamani kuisimamisha Malawi isiteketeza pembe za ndovu zilizonaswa huko
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ni meno ya tembo au pembe za ndovu?
Yapo makosa mengi tunayosoma katika magazeti. Makosa ninayoyazungumzia katika makala zangu ni ya lugha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania