Kawawa ahofia PSPF kupata hasara
MBUNGE wa Viti Maalumu, Zainab Kawawa (CCM), amesema kuwa endapo serikali haitalipa deni lake la sh bilioni 250 kwa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), iko hatari mfuko...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Kardashian ahofia kupata kisukari
NEW YORK, MAREKANI
MKE wa Kanye West, Kim Kardashian, amehofia kupata ugonjwa wa kisukari kutokana na ulaji wake wa ovyo wa vyakula vya aina mbalimbali kipindi hiki cha ujauzito wake.
Mrembo huyo anatarajia kupata mtoto wa pili kabla ya Desemba 26.
“Ninaamini nina afya njema, lakini kuna wakati najikuta nakula bila mpangilio hivyo naweza kupata ugonjwa wa sukari, ninaamini hali hii inatokana na ujauzito na ndiyo maana muda mwingi natamani kula,” alisema Kim.
Hata hivyo, mrembo huyo atakuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Du2gX0t5yFU/VJnazhjj8mI/AAAAAAAG5b0/T87OtIywNfM/s72-c/Untitled1.png)
MH. ZAINABU KAWAWA AMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA KWA VITENDO
Akiwa wilayani Liwale alipokulia na kusomea Marehemu Mzee Kawawa, Mh Zainabu aliwatembela wazee mbali mbali waliokuwa marafiki wa Mzee Kwawa ili kuwawajulia hali na kusikia mitazamo yao ya Liwale ya sasa nakipindi walipo kuwa na Marehemu Mzee Kawawa.
Wakitoa mitazamo yao Mzee...
9 years ago
StarTV15 Dec
Tanesco watangaza kupata hasara ya Shilingi milioni 200 kutokana na Wizi Wa Umeme
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 200 kwa wateja wake zaidi ya 50 waliojiunganishia Umeme kinyume cha sheria kwenye maeneo ya Msasani, Kigamboni na Oysterbay Jijini Dar Es Salaam hali ambayo imesababisha kushuka kwa ufanisi wa utendaji kazi wa shirika hilo.
Katika operesheni ya kukagua nyumba zilizojiunganishia umeme kinyume cha sheria shirika hilo limekagua jumla ya nyumba 2,200 katika kipindi cha wiki moja na kubaini madudu hayo.
Katika...
10 years ago
GPLMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA YA KUANZIA MAISHA
10 years ago
MichuziMH.HAMAD RASHID AWAASA WANAFUNZI KUJIUNGA NA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF ILI KUPATA MIKOPO YA ELIMU NA MIKOPO YA KUANZIA MAISHA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/---bE51K8_3E/U7qUL6bXdUI/AAAAAAAFvfI/n_6Wgx5BKTQ/s72-c/kabaka2.jpg)
Mh. Kabaka atembelea Banda la PSPF sabasaba, Mrisho Mpoto ajiunga PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/---bE51K8_3E/U7qUL6bXdUI/AAAAAAAFvfI/n_6Wgx5BKTQ/s1600/kabaka2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fRv0WBo_i3A/U7qULyeau0I/AAAAAAAFvfU/S2GE4yKx6lM/s1600/RISHO+mPOTOZ.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s640/PIC3%2Bc.jpg)
BALOZI WA PSPF FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBY*kL9Yow9JvZkRB*0iFth18jhk8M4nLFFAiu1YTP1R*yoIhGNejnDRVtsuWblHzGRQk*EiMU*ZzPVPTblO2DRT/Nisha.jpg)
NISHA AHOFIA UZEE