Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kazi aliyonipa Diamond nimeifanya – Q Chief

Msanii mkongwe wa muziki, Q Chief amesema amekamilisha ujio wa wimbo wake mpya wenye mahadhi ya Zouk.

Muimbaji huyo amedai alishauriwa na Diamond Platnumz kufanya muziki wa Zouk kwa kuwa ni muziki ambao alikuwa anaufanya katika kipindi cha nyuma na kumpatia mafanikio makubwa.

Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Q Chief amedai wimbo huo ambao umetayarishwa na maproducer watatu, utawarudisha nyuma wale mashabiki ambao waliumiss muziki huo.

“Namshukuru Mungu kazi imekamilika na mara ya mwisho...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Q-Chief kuwashirikisha TID na Diamond

Q-Chief amesema tayari amesharekodi wimbo wa pamoja na swahiba wake TID na sasa yupo kwenye mazungumzo na Diamond Platnumz kuhakikisha anaibariki pia ngoma hiyo. Q amesema baada ya kuona wamemaliza tofauti zao, alimshauri TID kufanya wimbo wa pamoja kama wasanii wakongwe wa muziki wa Bongo Flava. “Nimerekodi na TID ambaye tulikuwa tuna mgogoro ndani ya […]

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND ATOA OFA YA NGOMA NA VIDEO KWA Q CHIEF

Mwaka 2012 kuliibuka bifu kati ya wasanii Q chillah na Diamond Platnumz, na ilikuwa ikionekana kuwa Q-Chillah ndiye mwenye tatizo na Diamond kwa sababu kabla ya bifu hilo Diamond alikuwa anamtaja Chilla kama moja kati ya wasanii waliomfanya kuingia ndani ya ‘game’ ya muziki wa Bongo Flava, lakini baadaye Q chief alianza kumtuhumu Diamond kuwa anamroga na kuchukua nyota yake.
Clouds fm ilimuuliza Diamond, anatamani msanii gani wa kitambo wa Bongo Fleva angekuwa anafanya vizuri mpaka leo?

...

 

9 years ago

Bongo5

Video: TID na Q-Chief wazungumzia kazi yao mpya ‘Mkungu wa Ndizi’

qchief

Wasanii wakongwe nchini TID na Q-Chief wameachia kazi yao ya pamoja iitwayo ‘Mkungu wa Ndizi.’

Wakiongea na Bongo5, wasanii hao walisema kuwa wimbo huo wenye mahadhi ya pwani una tofauti kubwa na kazi zao za nyuma.

Wamesema wameamua kuileta tena ladha ya muziki wa pwani wa Afrika Mashariki ambayo wanaamini imepotea redioni na pia kuonesha ukongwe wao.

“Hii ngoma mimi naiweka kwenye history kwasababu watu walishasema ‘hivi hawa watakuja kufanya tena kazi pamoja!’, amesema Q-Chief.

Amedai...

 

10 years ago

TheCitizen

Tanzania’s youngest chief: Chief Adam Abdul

Meeting him for the first time, he looks like any other 14 year old boy who enjoys playing games on the laptop, riding his bicycle and enjoys playing basketball when he is not doing his homework or helping out in their family shop.

 

11 years ago

GPL

WEMA,DIAMOND WAFUNGIWA KAZI!

Waandishi Wetu
HABARI mpya! Mama wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu, Mariam Sepetu anadaiwa kuingia rasmi mitaani akiwasaka wapenzi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Wema, chanzo cha uhakika kimesema na Amani. Wema na Diamond wakiwa katika pozi la kimahaba. Kwa mujibu wa chanzo hicho makini, mama Wema ameamua kuchukua uamuzi huo baada ya kusikia taarifa kutoka kwa watu kwamba, Diamond amekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond, Flavour, katika kazi moja

Mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz na Flavour kutoka Nigeria watashiriki katika msimu wa pili wa promosheni ya Coke Studio.

 

10 years ago

TheCitizen

Chief’s grandson wants to be ‘paramount chief’

The grandson of Lyagalaga Mwandosya, who served as chief of Mpulo Hamlet, located some 50 kilometres from Tukuyu Town is one of the cadres who are seeking CCM’s nomination for the presidency in the October General Election

 

9 years ago

Bongo5

Video: Meneja wa Diamond ataja kazi inayofuata baada ya Utanipenda

12393885_765525026914683_1478959651_n

Ni kitu baada ya kitu. Baada ya kuachia video ya Utanipenda, Diamond anatarajia kuachia kazi nyingine mpya mwezi huu.

“Nadhani mwezi huu [January] tuna collaboration na AKA ambayo video yake ipo tayari,” meneja wa Diamond, Sallam ameiambia Bongo5.

Amesema kwakuwa Utanipenda ni wimbo wa huzuni na wa kusikiliza zaidi, wameona ni vyema kuachia pia wimbo wa kuparty.

“Tuna stock nyingi na hii ni collaboration, yaani ni nyimbo ya AKA na Diamond kwahiyo tunapotoa nyimbo ya collabo mara nyingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani