Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenneth Kaunda alazwa hospitalini

Aliyekuwa rais wa Zambia Kenneth Kaunda amelazwa hospitalini mjini Lusaka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JK AANDALIWA DHIFA NA RAIS LUNGU WA ZAMBIA, MZEE KENNETH KAUNDA JIJINI LUSAKA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.    Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Rais Mstaafu wa Zambia Mzee Dr.Keneth Kaunda alazwa Hospitali Mjini Lusaka

Aleyekuwa Rais wa mwanzo wa Zambia mkongwe wa siasa Dr.Kenneth Kaunda amelazwa katika Hosptali ya Lusaka Trust Hospital kuanzia Ijumaa wiki ya jana, Mzee Kaunda haijulikani ugonjwa gani uliokuwa unamsumbua lakini kwa sasa hali yake inaendelea vema mapema pia Rais wa sasa wa nchi Bw.Michael Sata na mkewe Bi.Dr.Christine Kaseba walenda kumjulia hali Mzee Kenneth Kaunda aka KK(pichani kama kawaida na kitambaa cheupe)

 

10 years ago

BBCSwahili

Mohammed Ali alazwa hospitalini

Aliyekuwa bingwa wa ndondi ulimwenguni Mohammed Ali amelazwa hospitalini baada ya kuugua maambukizi ya mapafu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mpenzi wa Hollande alazwa hospitalini

Mpenzi wa Rais wa Ufaransa amelazwa hospitalini baada ya vyombo vya habari kudai Rais huyo ana mchumba wa kando.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Algeria alazwa hospitalini

Rais wa Algeria Abdelaziz Bouteflika amelazwa katika hospitali moja nchini Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Desmond Tutu alazwa hospitalini

Askofu mstaafu Desmond Tutu amelazwa katika hospitali moja mjini Cape Town Afrika Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Jacob Zuma alazwa hospitalini

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amelazwa hospitalini kwa uchunguzi wa kiafya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Alazwa hospitalini baada ya kumkana Mungu

Mwanamume mmoja nchini Nigeria, amepelekwa katika kituo cha matibabu ya kiakili baada ya kusema kuwa hamwamini Mungu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pele alazwa hospitalini Sao Paulo

Aliyekuwa mchezaji nyota wa timu ya Brazil Pele amefanyiwa matibabu hospitalini miezi miwili baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani